Phobia ipi mkuu kwahiyo tusiwe tunasema ukweli
Hata vitabu vitakatifu vyasema... 'ukweli utamuweka mtu huru' kwahiyo si vibaya kuutoa ukweli wako.. ni jambo jema na tena ni haki yako... lakini haizuii wengine kufanya tafakari ya kile kimekusukuma kutoa ukweli huo.
Ntakubishiaje wakati sijui mental picture ya Arusha uliyonayo? Yaweza kuwa picha ya Arusha uliyonayo ni kule kwenye slums za Unga limited... Hata mmakonde aliye fikia Buza kwa Lulenge akisema Dar ni mji mbovu.. hakuna mitaa, nyumba zimebanana na vigodoro mda wote hata saa tano Asubuhi hatuto mshangaa au kumpinga kwa kuwa ndio Dar yake anayoijua.Acha kusingizia vitabu mkuu arusha imechoka sana huo ndo ukweli
Ntakubishiaje wakati sijui mental picture ya Arusha uliyonayo? Yaweza kuwa picha ya Arusha uliyonayo ni kule kwenye slums za Unga limited... Hata mmakonde aliye fikia Buza kwa Lulenge akisema Dar ni mji mbovu.. hakuna mitaa, nyumba zimebanana na vigodoro mda wote hata saa tano Asubuhi hatuto mshangaa au kumpinga kwa kuwa ndio Dar yake anayoijua.
Twende nikupeleke..Naomba nitaje ninaotamani kufika - Mwanza
Nimekaa Mza na dar....anayetoka Mza akashangaa dar labda ametokea wilaya zetu zile...Ukifika Dar ndio utachanganyikiwa kabisa!
Mwanza bado mkuu??Ratiba ya kusafiri ipo tayari. Nadhani August au October naweza kwenda.
Sasa hivi Nina Arusha, Dodoma, Morogoro, Mtwara na Mbeya.
Mwanza tayari. February nilikua huko na kabla ya September nakuja tenaMwanza bado mkuu??
Labda ukifika Dar macho huwa yanapofuka...Nimekaa Mza na dar....anayetoka Mza akashangaa dar labda ametokea wilaya zetu zile...
Tupe maoni yako mkuu..Mwanza tayari. February nilikua huko na kabla ya September nakuja tena
Eti...ulitaka nishangae ki2 gan?Labda ukifika Dar macho huwa yanapofuka...
Mwanza tayari. February nilikua huko na kabla ya September nakuja tena
Asante mkuuKarbu sana nitakupokea tulale hapa KUMALIJA
Lindi na mtwara tayari nishafika...naufufua uzi wakuuSijawahi kufika.
Lindi,mtwara,mbeya,Mara,iringa,na kigoma
Mikoa ambayo siipendi Ni tanga na tabora
Mkoa ambao najutia kufika Ni morogoro
Hapajui Moro huyo kuna mtaa unaitwa Chamwino viazi vitamu vya buku mnakula familia na kubakiza vingine, chumba cha buku teni kina umeme na maji [emoji28]Chakula kipo mpaka cha jero alafu unasema maisha magumu ase....