Taja mkoa ambao hujawahi fika na huna mpango wa kufika na unajutia kufika mkoa gan

Taja mkoa ambao hujawahi fika na huna mpango wa kufika na unajutia kufika mkoa gan

Mwanza nimekuelewa saan japo Nina kam Siku NNE tangu niwepo apa
 
Kigoma sumbawanga ruvuma mtwara lindi njombe mara tusameane na tusitafutane otherwise oxygen ipatikane huko tu
 
Mikoa ambayo sijafika ni Mtwara, Ruvuma, Mbeya, na Rukwa. Sijawahi jutia kufika mkoa wowote.

Mikoa niliyoipenda: Kigoma, kuna varieties ya vyakula, na sehemu nyingi za kupumzika kuanzia Kigoma Hotel, Hilltop, Bangwe.

Sehemu nyingine ni mkoa wa Mara, hasa hasa Tarime, pako poa sana.

Sehemu ambapo niliboreka kiasi nadhani ni mkoa wa pwani, Kibaha jina kubwa lakini hamna kitu, na wilaya nyingine kama Mkuranga na Rufiji, doro sana.
 
Na selelereka nayo

Mimi sijawahi fika Kigoma na sina mpango wa kufika pia sijawahi fika Tabora na sina mpango wa kufika.

Najutia sana kufika Arusha maana ni mkoa choka mbaya kishenzi, nilitupa nauli zangu bure bora ningebaki Mwanza tu.
Geneva of Africa ndorobooeeh
 
Sijawahi jutia hata chembe kufika Kilimanjaro,wazee wa Marangu mpooo.......
Pia Arusha,Moro na pwani yote,Dodoma yote...
Watanzania ni wakarimu sana,
 
Kama huna hela (£,€,$,¥) huwezi kuipenda Arusha na hata ukienda Chuga kama huna Masimbi utauona huo Mkoa umekuonea sana.... Hakuna Mkoa Tanzania nao jutia kuutembelea, kwanza kila wilaya ina ladha yake.... Kama huna Ngawira kila utakapo enda lazma utapachukie tu na kujenga chuki napo.....

Nikipata safari ya kwenda kutembea, naanzia mjini namalizia na vijijini kama huo mkoa una vivutio vya kitalii namalizia na hapo narudi zangu kichwa kikiwa kimejaa vitu vipya...
Huu sio uzi wa kutetea mikoa. Kila mmoja aachwe ataje alipojutia. Mfyuuu
 
Morogoro kuzuri japo maisha ghali Sana, kma huna kipato Cha kueleweka huwez kuish, pia Morogoro pabaya Sana during rain season.
Kwa hiyo unatushauri sisi wenye kipato cha kijungujiko. Tusiwaze kwenda kuishi Morogoro
 
Back
Top Bottom