kiletza
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 538
- 938
Hata vitabu vitakatifu vyasema... 'ukweli utamuweka mtu huru' kwahiyo si vibaya kuutoa ukweli wako.. ni jambo jema na tena ni haki yako... lakini haizuii wengine kufanya tafakari ya kile kimekusukuma kutoa ukweli huo.
Phobia ipi mkuu kwahiyo tusiwe tunasema ukweli