Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hahahahaa.. inshallah ingawa naweza enda mapema pia.Aise, naomba ratiba ya october inikute Musoma, ule kichuri original achana na hicho cha kununua [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa.. inshallah ingawa naweza enda mapema pia.Aise, naomba ratiba ya october inikute Musoma, ule kichuri original achana na hicho cha kununua [emoji28]
I will keep in touch, hakuna tatizo hata white.Hahahahaa.. inshallah ingawa naweza enda mapema pia.
[emoji3][emoji3] uko vizuri mwenzaNdio mwenza. Sema naishia mjini tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Njombe nilipita nlikua naenda Songea
Mwenza kusafiri ni hobby yangu sema ni vile sasa hivi majukumu yanakaba basi nasafiri kwa shida. Enzi hizo nilikua naweza nikaamka nikaenda ubungo naenda Dodoma au Arusha.[emoji3][emoji3] uko vizuri mwenza
Aisee na uchumi uwe unaruhusu sasaMwenza kusafiri ni hobby yangu sema ni vile sasa hivi majukumu yanakaba basi nasafiri kwa shida. Enzi hizo nilikua naweza nikaamka nikaenda ubungo naenda Dodoma au Arusha.
Uchumi nao umeyumba mwenza.Aisee na uchumi uwe unaruhusu sasa
Naomba nitaje ninaotamani kufika - Mwanza
Nitakaribia mkuuKaribu sana mkuu
Nipo nakuandalia michembe,sato na sangara.Nitakaribia mkuu
Daah hapo utakuwa umenifikishaNipo nakuandalia michembe,sato na sangara.
Haya usijali.Ukikaribia kuja nambie Nikuandalie.Daah hapo utakuwa umenifikisha
Kuna winter hatari yaani hapa nimejifunikaHuko panadarid sana kushinda hata London
KaribuNaomba nitaje ninaotamani kufika - Mwanza
ShukraniKaribu
Nyie ndo mnafikiaga kwa shemeji unalala chumba kirefu, na vyenye umeenda huna dili unamsikilizia shemeji akutafutie, siku zinaenda unaghairi unarudi kwenuSijawahi kufika.
Lindi,mtwara,mbeya,Mara,iringa,na kigoma
Mikoa ambayo siipendi Ni tanga na tabora
Mkoa ambao najutia kufika Ni morogoro
PNC Hotel, Apple Lodge, Zwangendaba Nkosi, Hunt Club na Heritage CottageMkoa umechoka kishenzi lakini wenyeji wala hawana habari