Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
...kwetu shinyanga... Kuna hizi kanuni...
1.Mwenye macho mekundu(hasa wanawake wazee)...ni mchawi... na kula panga ni jambo la kawaida(nashukuru mungu saivi haipo)
2.ikinyesha mvua yenye upepo mkali na vi mawe... Marufuku kesho kwenda shamba(50% wameshtuka)
3.ni marufuku kufunika koleo, kula mayai, miwa sehemu wanapochimba dhahabu...
4.ni marufuku kuchinja ng'ombe wa nyumbani...
5.mtu akikutapel au kukudhulumu usimshtaki wala kumroga... Jipe moyo ukijisemea "maguzu masese" maana yake manguvu yapo ya kutosha ko atapata tu mali tena...
6.ni marufuku kumdharau mgeni(mtu asie msukuma) hii sijajua maana ake...
7.mtoto ukila kiazi kikubwa au chakula chochote kama vile nyama, mhogo n.k... Utaangukia mlangoni
8.ni marufuku kufanya mapenzi na mvulana au binti wa jirani...
9.ni marufuku kuvaa nguo nyekundu wakati wa mvua... vinginevyo unakula radi...
10.uchawi wanachukulia kama michezo mingine kufanya maonyesho... Ukiutumia kwa nia mbaya au kuroga... Utajua ujui...
naleta zingne niwaulze wazee...
1.Mwenye macho mekundu(hasa wanawake wazee)...ni mchawi... na kula panga ni jambo la kawaida(nashukuru mungu saivi haipo)
2.ikinyesha mvua yenye upepo mkali na vi mawe... Marufuku kesho kwenda shamba(50% wameshtuka)
3.ni marufuku kufunika koleo, kula mayai, miwa sehemu wanapochimba dhahabu...
4.ni marufuku kuchinja ng'ombe wa nyumbani...
5.mtu akikutapel au kukudhulumu usimshtaki wala kumroga... Jipe moyo ukijisemea "maguzu masese" maana yake manguvu yapo ya kutosha ko atapata tu mali tena...
6.ni marufuku kumdharau mgeni(mtu asie msukuma) hii sijajua maana ake...
7.mtoto ukila kiazi kikubwa au chakula chochote kama vile nyama, mhogo n.k... Utaangukia mlangoni
8.ni marufuku kufanya mapenzi na mvulana au binti wa jirani...
9.ni marufuku kuvaa nguo nyekundu wakati wa mvua... vinginevyo unakula radi...
10.uchawi wanachukulia kama michezo mingine kufanya maonyesho... Ukiutumia kwa nia mbaya au kuroga... Utajua ujui...
naleta zingne niwaulze wazee...