TAJA SHULE ULIYESOMA YA MSINGI,ikiwemo mwaka uliyoanza na kumaliza,ili upate mtu uliyesoma nae hapa jamii mpige story....

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Kama kichwa kinavyojieleza..
Naanza nimesoma shule ya msingi sanawari primary school,shule ipo arusha.
Mwaka (1998-2004)..nawakumbuka walimu waliokuwa wanachapa hatari sana,kuna mwalimu mdee,mwalimu mollel,hawa sitawasahau kwa kichapo heavy.
Nawakaribisha tukumbushane ya zamani sanaaaaa.........
 
We TISS hupati watu kizembe hivi, hapa tupo hadi FBI kibao tunajua sana mbinu za makachelo wazembe wa TISS, endelea kuwafatilia wansoposti picha za utupu huko fb utakamata wengi tu πŸ˜‚
 
We TISS hupati watu kizembe hivi, hapa tupo hadi FBI kibao tunajua sana mbinu za makachelo wazembe wa TISS, endelea kuwafatilia wansoposti picha za utupu huko fb utakamata wengi tu πŸ˜‚
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ woga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…