Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Matako yako primary school
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo shule wanafunzi wote walikuwa wananuka maviMatako yako primary school
Kati wa watoa mada wanaoipelekesha TISS mitandani jf wapo wengi mno Ila wameshindwa namna ya kuwajua kabisa 😂😄😄😄😄😄😄😄😄😄 woga tu
HahahahaKati wa watoa mada wanaoipelekesha TISS mitandani jf wapo wengi mno Ila wameshindwa namna ya kuwajua kabisa [emoji23]
Sasa CIA ama FBI wanaweza toa taarifa zao kwa mbinu ya kizwazwa kama hii?
Hakuna cha uoga sote tupo kazini, nimeelekeza pahali pa kupeleka mada ni huko fb watapatikana hukoo.
Hakuna mpelelezi hapa tunapiga story tuKati wa watoa mada wanaoipelekesha TISS mitandani jf wapo wengi mno Ila wameshindwa namna ya kuwajua kabisa 😂
Sasa CIA ama FBI wanaweza toa taarifa zao kwa mbinu ya kizwazwa kama hii?
Hakuna cha uoga sote tupo kazini, nimeelekeza pahali pa kupeleka mada ni huko fb watapatikana hukoo.
Walimu mpaka wanafunzi wanagawa ulodaMaisha tunatoka mbali sana..nikikumbuka hustles za kisomo..
#MaendeleoHayanaChama View attachment 2367951
Mdanganye kenzy bwashee 🤣🤣Hakuna mpelelezi hapa tunapiga story tu
Kweli just story tuuuMdanganye kenzy bwashee 🤣🤣
Wewe itakuwa ni shushushu.Mtu pekee wa kutujuwa sisi ni nani ni admin na moderator wa jukwaa basi.Kama kichwa kinavyojieleza..
Naanza nimesoma shule ya msingi sanawari primary school,shule ipo arusha.
Mwaka (1998-2004)..nawakumbuka walimu waliokuwa wanachapa hatari sana,kuna mwalimu mdee,mwalimu mollel,hawa sitawasahau kwa kichapo heavy.
Nawakaribisha tukumbushane ya zamani sanaaaaa.........
Kweli just story tuuu
Mhhh majina mengine sasa nitakuwaje huyo shushuWewe itakuwa ni shushushu.
Kennedy House - USA River, Arusha. 2000s
WamefanyajeHuyu nishamstukia kuna mtu anamtafuta kama sio kaka mkubwa Smarter basi ni MamaSamia2025 maana wamemfanya mbaya huko kwenye uzi wa jiji bora kuwahi kutokea hapa Tanzania.[emoji23]
Wana ma group yao whatsapp na wengi hawataki kutoa codes zao wajulikane hapa!Kama kichwa kinavyojieleza..
Naanza nimesoma shule ya msingi sanawari primary school,shule ipo arusha.
Mwaka (1998-2004)..nawakumbuka walimu waliokuwa wanachapa hatari sana,kuna mwalimu mdee,mwalimu mollel,hawa sitawasahau kwa kichapo heavy.
Nawakaribisha tukumbushane ya zamani sanaaaaa.........