TAJA SHULE ULIYESOMA YA MSINGI,ikiwemo mwaka uliyoanza na kumaliza,ili upate mtu uliyesoma nae hapa jamii mpige story....

TAJA SHULE ULIYESOMA YA MSINGI,ikiwemo mwaka uliyoanza na kumaliza,ili upate mtu uliyesoma nae hapa jamii mpige story....

Maisha tunatoka mbali sana..nikikumbuka hustles za kisomo..

#MaendeleoHayanaChama
Screenshot_20220925-194853_Google.jpg
 
😄😄😄😄😄😄😄😄😄 woga tu
Kati wa watoa mada wanaoipelekesha TISS mitandani jf wapo wengi mno Ila wameshindwa namna ya kuwajua kabisa 😂

Sasa CIA ama FBI wanaweza toa taarifa zao kwa mbinu ya kizwazwa kama hii?

Hakuna cha uoga sote tupo kazini, nimeelekeza pahali pa kupeleka mada ni huko fb watapatikana hukoo.
 
Kati wa watoa mada wanaoipelekesha TISS mitandani jf wapo wengi mno Ila wameshindwa namna ya kuwajua kabisa [emoji23]

Sasa CIA ama FBI wanaweza toa taarifa zao kwa mbinu ya kizwazwa kama hii?

Hakuna cha uoga sote tupo kazini, nimeelekeza pahali pa kupeleka mada ni huko fb watapatikana hukoo.
Hahahaha

Ova
 
Kati wa watoa mada wanaoipelekesha TISS mitandani jf wapo wengi mno Ila wameshindwa namna ya kuwajua kabisa 😂

Sasa CIA ama FBI wanaweza toa taarifa zao kwa mbinu ya kizwazwa kama hii?

Hakuna cha uoga sote tupo kazini, nimeelekeza pahali pa kupeleka mada ni huko fb watapatikana hukoo.
Hakuna mpelelezi hapa tunapiga story tu
 
Kama kichwa kinavyojieleza..
Naanza nimesoma shule ya msingi sanawari primary school,shule ipo arusha.
Mwaka (1998-2004)..nawakumbuka walimu waliokuwa wanachapa hatari sana,kuna mwalimu mdee,mwalimu mollel,hawa sitawasahau kwa kichapo heavy.
Nawakaribisha tukumbushane ya zamani sanaaaaa.........
Wewe itakuwa ni shushushu.Mtu pekee wa kutujuwa sisi ni nani ni admin na moderator wa jukwaa basi.
 
Kama kichwa kinavyojieleza..
Naanza nimesoma shule ya msingi sanawari primary school,shule ipo arusha.
Mwaka (1998-2004)..nawakumbuka walimu waliokuwa wanachapa hatari sana,kuna mwalimu mdee,mwalimu mollel,hawa sitawasahau kwa kichapo heavy.
Nawakaribisha tukumbushane ya zamani sanaaaaa.........
Wana ma group yao whatsapp na wengi hawataki kutoa codes zao wajulikane hapa!
 
Back
Top Bottom