Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Ndg Wana JF ...
Utafiti nilioufanya mwaka jana, niligundua mashabiki wa Simba ni sawa na waaumini wa ufufuo na uzima. Huwezi kushindana nao kwa kubishana.
Hizi Ni baadhi ya sifa za makolo
1. Wepesi wa kumtafuta mchawi (3rd part) pale timu Inafanya vibaya, watamtafuta wakumuwajibisha fasta.....mfano one day tutashuhudia yule CEO akiitisha press ya kumtimua Mwamedi[emoji23]
2. Waongeaji na wanakele Sana that's y wakifungwa unaweza kuta jiji limetulia
3. Wana too much expectations than uwezo walionao ( dharau na viburi)
Sifa za wananchi
1. Wavumilivu, hata timu ifanye vibaya watajipa muda kwaajili ya kuruhusu kufanya mabadiliko. Mfano issue ya prof. Nabi bado anaungwa mkono ingawa timu haikufanya vzr
Je! Unazifahamu sifa zipi za mashabiki wa Simba ( makolo)
Utafiti nilioufanya mwaka jana, niligundua mashabiki wa Simba ni sawa na waaumini wa ufufuo na uzima. Huwezi kushindana nao kwa kubishana.
Hizi Ni baadhi ya sifa za makolo
1. Wepesi wa kumtafuta mchawi (3rd part) pale timu Inafanya vibaya, watamtafuta wakumuwajibisha fasta.....mfano one day tutashuhudia yule CEO akiitisha press ya kumtimua Mwamedi[emoji23]
2. Waongeaji na wanakele Sana that's y wakifungwa unaweza kuta jiji limetulia
3. Wana too much expectations than uwezo walionao ( dharau na viburi)
Sifa za wananchi
1. Wavumilivu, hata timu ifanye vibaya watajipa muda kwaajili ya kuruhusu kufanya mabadiliko. Mfano issue ya prof. Nabi bado anaungwa mkono ingawa timu haikufanya vzr
Je! Unazifahamu sifa zipi za mashabiki wa Simba ( makolo)