Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa yao mojawapo na kuu huwanyandua wanayanga bila mpira wala ganzi, yaani kavu kavu..Ndg Wana JF ...
Utafiti nilioufanya mwaka jana, niligundua mashabiki wa Simba ni sawa na waaumini wa ufufuo na uzima. Huwezi kushindana nao kwa kubishana.
Hizi Ni baadhi ya sifa za makolo
1. Wepesi wa kumtafuta mchawi (3rd part) pale timu Inafanya vibaya, watamtafuta wakumuwajibisha fasta.....mfano one day tutashuhudia yule CEO akiitisha press ya kumtimua Mwamedi[emoji23]
2. Waongeaji na wanakele Sana that's y wakifungwa unaweza kuta jiji limetulia
3. Wana too much expectations than uwezo walionao ( dharau na viburi)
Sifa za wananchi
1. Wavumilivu, hata timu ifanye vibaya watajipa muda kwaajili ya kuruhusu kufanya mabadiliko. Mfano issue ya prof. Nabi bado anaungwa mkono ingawa timu haikufanya vzr
Je! Unazifahamu sifa zipi za mashabiki wa Simba ( makolo)View attachment 2401039
Leta MgundaWanathimbaaaa......
Hatujamalidhaaaa......
umemaliza kwanza period, nije nikuchape nao..Bro una husband soma ulichoandika
umemaliza kwanza kula mme wangu period imeisha , nije unichape nao..
Ukiomtoa kikwete na manara kuna wengine wenye akili ili twende sawa na mada.Mashabiki wengi ni vigeuugeu! Timu ikifungwa, wanaanzisha zengwe na zogo la kuwakataa baadhi ya wachezaji, makocha na CEO! Timu ikishinda, nderemo na chereko hutawala! [emoji848]
Ni mbumbumbu! Na jambo hili hata yule Mwenyekiti wao wa zamani aliligundua mapema sana. Na nisingependa kuingia kwa undani huko, ili wasije wakajisikia vibaya!
Wanapenda sana kutukana! Imagine kuna wakati wakitofautiana mtazamo kuhusu timu yao, wanaweza hata kurushiana matusi wenyewe kwa wenyewe.
Huwaambiaa kitu kuhusu mwekezaji wao! Na ukitaka utukanwe matusi yote, basi mkosoe tu mwekezaji wao! Au ulizia zilipo zile bilioni 20! Khamis Kigwangala (MB) ni shahidi katika hili.
Kuna huyu.. KalpanaWengi wanadhani timu yao tu ndo Ina haki ya kushinda ila nyingine zilishinda zinanunua mechi.
Kuna wengine ukiwasikiliza mpaka unajiuliza sasa kama baba ndo mbumbumbu kiasi hiki mtoto wake sasa itakuaje?
Ila kuna vi pisi vikali pia vinashabikia Simba basi ndo tunapita navyo na kuvibadili ushabiki vinahamia mitaa ya twiga na jangwani[emoji1]