Taja sifa za mashabiki wa Simba ( MAKOLo)

Taja sifa za mashabiki wa Simba ( MAKOLo)

Wanaenda airport kupokea wageni

Ni mambumbu walidanganywa amesajiliwa mchezaji aliyecheza Newcastle na amekataa offers kibao ulaya ila anawekwa benchi na mnzanzibari.

Morrison aliwaambia waende shule licha ya kuwakejeli na kuwatukana ila bado wanamuona maradona kweli wenye akili ni wawili tu pale.

Hawajasoma wengi wao msomi hawezi kwenda airport kupokea wanaume.

Wameambiwa ukichanjwa unaingia bure mechi za yanga na wamekubali wenye akili hawawezi kukubali hlo .

Wana imani ya kucheza Caf champions league group stage mwaka huu licha ya kupigwa pale Sudan kweli kule wenye akili ni wawili.
 
Wanaenda airport kupokea wageni

Ni mambumbu walidanganywa amesajiliwa mchezaji aliyecheza Newcastle na amekataa offers kibao ulaya ila anawekwa benchi na mnzanzibari.

Morrison aliwaambia waende shule licha ya kuwakejeli na kuwatukana ila bado wanamuona maradona kweli wenye akili ni wawili tu pale.

Hawajasoma wengi wao msomi hawezi kwenda airport kupokea wanaume.

Wameambiwa ukichanjwa unaingia bure mechi za yanga na wamekubali wenye akili hawawezi kukubali hlo .

Wana imani ya kucheza Caf champions league group stage mwaka huu licha ya kupigwa pale Sudan kweli kule wenye akili ni wawili.
MAKOLo au???[emoji23][emoji23]
 
[QUOTE="Labani og, post: 44153429, member: 609306"] Ndg Wana JF ... Utafiti nilioufanya mwaka jana, niligundua mashabiki wa Simba ni sawa na waaumini wa ufufuo na uzima. Huwezi kushindana nao kwa kubishana. Hizi Ni baadhi ya sifa za makolo 1. Wepesi wa kumtafuta mchawi (3rd part) pale timu Inafanya vibaya, watamtafuta wakumuwajibisha fasta.....mfano one day tutashuhudia yule CEO akiitisha press ya kumtimua Mwamedi[emoji23] 2. Waongeaji na wanakele Sana that's y wakifungwa unaweza kuta jiji limetulia 3. Wana too much expectations than uwezo walionao ( dharau na viburi) Sifa za wananchi 1. Wavumilivu, hata timu ifanye vibaya watajipa muda kwaajili ya kuruhusu kufanya mabadiliko. Mfano issue ya prof. Nabi bado anaungwa mkono ingawa timu haikufanya vzr Je! Unazifahamu sifa zipi za mashabiki wa Simba ( makolo)[ATTACH type="full" alt="Screenshot_20221029-111000.jpg"]2401039[/ATTACH] [/QUOTE] Mimi kama shabiki wa Yanga, wewe umeanza kushabikia mpira mwaka Jana.. hujui chochote kuhusu Yanga, Simba na mpira wa kibongo. Utafiti wako ni batili
 
[QUOTE="Labani og, post: 44153429, member: 609306"] Ndg Wana JF ... Utafiti nilioufanya mwaka jana, niligundua mashabiki wa Simba ni sawa na waaumini wa ufufuo na uzima. Huwezi kushindana nao kwa kubishana. Hizi Ni baadhi ya sifa za makolo 1. Wepesi wa kumtafuta mchawi (3rd part) pale timu Inafanya vibaya, watamtafuta wakumuwajibisha fasta.....mfano one day tutashuhudia yule CEO akiitisha press ya kumtimua Mwamedi[emoji23] 2. Waongeaji na wanakele Sana that's y wakifungwa unaweza kuta jiji limetulia 3. Wana too much expectations than uwezo walionao ( dharau na viburi) Sifa za wananchi 1. Wavumilivu, hata timu ifanye vibaya watajipa muda kwaajili ya kuruhusu kufanya mabadiliko. Mfano issue ya prof. Nabi bado anaungwa mkono ingawa timu haikufanya vzr Je! Unazifahamu sifa zipi za mashabiki wa Simba ( makolo)[ATTACH type="full" alt="Screenshot_20221029-111000.jpg"]2401039[/ATTACH] [/QUOTE] Mimi kama shabiki wa Yanga, wewe umeanza kushabikia mpira mwaka Jana.. hujui chochote kuhusu Yanga, Simba na mpira wa kibongo. Utafiti wako ni batili
Kama shabiki wa yanga....huwezi pinga utafiti huu
 
Mashabiki wa simba wanajielewa ,mashabiki wa simba kama simba yenyewe ni content ndio maana hata media haziachi kuwafuatilia naweza kukutajia kwa uchache ;kay mziwanda,mzaramo,big wa simba,simba ulaya,aggy simba,mikoi kisugu,issa azam,mc petit n.k lakini upande wa pili hata wakiwepo wawili ndio hao wanajiita mzee wa utopolo
 
Back
Top Bottom