MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
Habari wadau za juma pili.
kama kichwa cha habari hapo juu.
mimi nime wai kutumia simu za aina nyingingi sana ila kiukweli nilii kuwa mgonjwa na simu za nokia na huaweii.
tokea maisha yangu sijawai kuipenda samsung sijui kwani wala apple (i phone). kwa sasa niko na simu ya kawaida sana,
hivyo basi kwa sasa nataka kujaribu simu za tecno hasa camoni 11 pro, kama una uzoefu na hii simu unaweza sema chochote kile.
kama kichwa cha habari hapo juu.
mimi nime wai kutumia simu za aina nyingingi sana ila kiukweli nilii kuwa mgonjwa na simu za nokia na huaweii.
tokea maisha yangu sijawai kuipenda samsung sijui kwani wala apple (i phone). kwa sasa niko na simu ya kawaida sana,
hivyo basi kwa sasa nataka kujaribu simu za tecno hasa camoni 11 pro, kama una uzoefu na hii simu unaweza sema chochote kile.