Taja simu unayoikubali sana uliyowahi kuimiliki

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,526
Habari wadau za juma pili.

kama kichwa cha habari hapo juu.
mimi nime wai kutumia simu za aina nyingingi sana ila kiukweli nilii kuwa mgonjwa na simu za nokia na huaweii.
tokea maisha yangu sijawai kuipenda samsung sijui kwani wala apple (i phone). kwa sasa niko na simu ya kawaida sana,

hivyo basi kwa sasa nataka kujaribu simu za tecno hasa camoni 11 pro, kama una uzoefu na hii simu unaweza sema chochote kile.

 
Samsung S series zote nimetumia kasoro S10 ndo naisubiri... kwa upande wa iPhone nimeipenda iPhone XS na ndiyo naitumia...

All the time nimekua fan wa two brands Samsung na IPhone na hutumia models zote Za kila mwaka mfano now nina Samsung S9 plus na iPhone XS...

Uzoefu ni kwamba hazisumbui pia ni value for money.
 
wenye nokia tochi hatujaathiriwa na mageuzi ya teknolojia kwenye simu
 
"...sijawahi kuipenda Samsung wala Apple...", isijekuwa ni ule msemo sizitaki mbichi hizi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…