Taja simu unayoikubali sana uliyowahi kuimiliki

N81 Nokia ina sterio spika na maujanja ujanja yote tatizo zama zimepita labda wake watoe muundo ule halafu owe ya kisasa.
 
Umeanza kwa mkwara sana,ila hapo mwishoni ulipomalizia ukaitaja hiyo simu nimeona kama ulitiwa upofu hata usione nini unanunua
 
Sony Xperia, nimetumia Z1, C3, Z5 Compact. Sahizi natumia simu ya uhindini inaitwa Micromax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…