Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Soma ulichoandika
 
Kusema hapana, mimi ni wale watu wakiambiwa kitu wanafanya tu bila kihoji sana. kuna dada workmate akija na mazagazaga ya kula akinipa sivungi, napiga. akiniagiza niende kitaa nimfatie chocolate sijui vocha, sikatai japokuwa ni mbali kidogo. kuna siku akaniuliza, vipi kwani wewe huwa huwezi kukataa?

hii hali naipenda na kuichukia kwa wakati mmoja maana kuna nyakati inanifaidisha na kuna nyakati inanifelisha.
 
Unaogopa kusema 'hapana'....
 
Una nyota ya udalali.
 
Duh..inaonesha upo available kuda mwingi ukiwa bize huwezi kutumwa ovyo.
 
Duh..inaonesha upo available kuda mwingi ukiwa bize huwezi kutumwa ovyo.
Mazingira ya kazi hayako tight... ila leo alitaka kuniagiza nikamkatalia maana nilikuwa nimechoka, kashangaa sana... mpaka ameuliza kama kuna kitu amenikosea maana hajanizoea hivyo...🤣🤣🤣
 
Mwepesi kulia mimi na sipendi ila ndo ivo tena. Af hii topic ni kama ishawahi letwa hapa. Jambo dogo tu hua linanifanya nilie. Zamani kidogo ilikua hata nikitafuta kitu nisipokiona ntalia.(wakati nikiwa mdogo ndo ilikua balaa) nkianza kutafuta hadi chozi litatoka. Lingine kutokua serious sana kwenye mambo mbalimbali. Kila kitu nachukulia simple hata jambo lenye kuhitaji umakini sana. Sijui hapa natokaje. Hasa kulia jana tu hapa nimelia.
 
Acha utoto[emoji23]
 
Hivi kwann mnapenda kuisakama sauti yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio wewe, sio kaka ako kwann lakini?
Nilipieni tray za mayai ilegee basi [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…