Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Mm nakatabia kakutopenda kabsa marafiki wa kunigandaganda urafiki ni mtaani kwangu marufuku kukaribia hata ukiitaji ntakukwepa vibaya mno.but ndugu zangu na wa wife ruksa kuja anytime hata bila taarifa
 
Kukasirika siwezi kukasirika mdamrefu sijui kukasirikia wanaonikwaza kunawakat nachukua sana baada ya mda naona normal tu natmni nikaushe mazima ila siwezi sijui nilitak kuwa msukule 😀😀
 
Kukasirika siwezi kukasirika mdamrefu sijui kukasirikia wanaonikwaza kunawakat nachukua sana baada ya mda naona normal tu natmni nikaushe mazima ila siwezi sijui nilitak kuwa msukule [emoji3][emoji3]
Njoo nikufundishe kukasirika mazima.
 
Kuwa nakula halafu ghafla tu nahisi uvivu kuendelea kula. Naachaga sana msosi kwenye sahani
 
Nifuate na mm mimi, 'ninatabia fulani ya kutokuwa serious yaani muda mwingi natamani kuwa serious lakini ni ngumu. Hata iwe kwa jambo la serious kiasi gani.

Imefikia kipindi hata napotoa wazo huwa wanaona funny ila mpaka wakae kwa mda wafikilie tena.

Hii sasa imekua changamoto mpaka kwenye mahusiano maana mtu anashindwa kujua nipo serious na mahusiano au nafanya utani.
sijui itaachana nayo vipi'...?
Nimejaribu ila nashindwa narudi pale pale.

Mbele za watu hata niseme niwe serious kiasi gani, basi kila nacho kiongea kinapokelewa tofauti
Watacheka tuu.

haijawahi tokea nikaongea mbele za watu dakika chini ya dakika 3 wasicheke.

Na sio kwamba nayoongea yanachekesha hapana.. au nina muonekano wa kuchekesha hapana.. au lafudhi hapana.

Zamani nilikua napenda ila.kwa sas naichukia hii hali maana kuna sehemu naona tafeli 🤓🤓🙌
Haaahaaa umenichekesha sana mkuu
 
Mimi nina tabia ya kupenda kutongoza, siwezi kukaa a mwanamke dakika tatu nisimtongoze na sio kama nawapenda au navutiwa nao kingono najikuta tu naanza kuwatongoza tena natongoza nikiwa serious.

Hakuna mwanamke mpya anayekuja kazini nisimtongoze. Mimi ndio huwa wa kwanza kumtongoza

Hii imekuwa tabia mbaya ambayo nimeshindwa kuiacha hata nikidhamilia kuacha kabisa kupenda kutongoza, najikuta nimeshatongoza bila kukusudia. Sasa hivi hapo kazini wanawake wote hawanitaki na wananiita malaya la kila mwanamke mpya akija, wanamuwahi kumwambia mangi chogo akikutongoza usimkubalie kwani ni malaya na amemtongoza kila mwanamke anayefanya kazi hapa.

Naombeni ushauri nifanye nini ili niachane na hii tabia kwani inanikosesha fulsa nyingi sana. Inatokea nikampenda kweli mwanamke lakini kwa hii tabia yangu akiisikia huwa wananitolea nje kikatili sana
 
Back
Top Bottom