Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Bora weweπŸ˜‚

Mimi navunja vitu aisee, naweza Hata kukurushia kitu ukaumia baadae ndio nitajutiaπŸ˜’
Aah wewe ni mkorofi na mgonvi, are you chugastanian ? Kaskazini?
 
Nachukia sana tabia ya kuwa naamka usiku wa manane kwenda kujisaidia hii huwa inanifanya nakosa furaha hasa kukatisha usingizi...[emoji2]
 
Kukaa mbali na simu. Yaani nafeli kabisa. Natamani nisishike simu kwa muda lakini dk sifuri nitaitafuta simu ilipo.
 

Kaninunulie vocha kariakoo
 
Kujikuna kwapa af kunusa, au kujikuna kubwa af kunusa au kujikuna fangas af kunusa au kujambia kikopo af kunusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…