Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Mimi sipendi kuchekesha Ila muonekano wangu na jinsi nilivyo umekaa kuchekesha pia sizoeleki haraka inaweza kukuchukua mda sana kunifahamu na hua sifahamiki kirahisi mpaka unanifahamu unakua bado haujanijua na haujanitambua Ila umeishia kunisikia tu yaan in short sieleweki nipo so ambiguous & equivocal
 
[emoji23][emoji23] Zipo nyingi ila ile ndio imezidi. Yule angepata kama wewe umnyooshe
Kuna njia nyingi za kumnyoosha mtu.
1. Unamnyoosha kwa upole, unamsema taratiibu hadi anajiona mjinga...njia hii huwa naitumia kwa watu wachokozi na wanaopenda kulipuka.

2. Njia ya pili unamkoromea hadi atamani kujificha kwenye mfuko wa shati😂😂😂.
Hii unmashtukoza na kumtolea sauti kali kwa ghafla, hii humfanya mtu asijiamini, ndipo unaingiza jambo lako.

Njia za kudeal na wakorofi huwa hazifanani, unadeal na mtu kwa kutegemea haiba yake na tabia yake.
 
[emoji1787] mimi mwenyewe kuna siku nilitaka kukukimbia. Ila kuna muda ni sawa tu hakuna mtu atakuletea mambo ya hovyo.
Nimemkumbuka yule baba wa Kariakoo [emoji1787]
Mungu anisaidie, huwa sipendi kuzinguliwa kabisa.
Lkn unajua pia mimi mtu mpole sio?😂
 
Mungu anisaidie, huwa sipendi kuzinguliwa kabisa.
Lkn unajua pia mimi mtu mpole sio?[emoji23]
Aah we bwana hutabiriki. Sasa kama yule baba alikuzingua nini? Na mimi nilikuzingua ukataka kututawanyisha [emoji81][emoji81]
 
Kuna njia nyingi za kumnyoosha mtu.
1. Unamnyoosha kwa upole, unamsema taratiibu hadi anajiona mjinga...njia hii huwa naitumia kwa watu wachokozi na wanaopenda kulipuka.

2. Njia ya pili unamkoromea hadi atamani kujificha kwenye mfuko wa shati[emoji23][emoji23][emoji23].
Hii unmashtukoza na kumtolea sauti kali kwa ghafla, hii humfanya mtu asijiamini, ndipo unaingiza jambo lako.

Njia za kudeal na wakorofi huwa hazifanani, unadeal na mtu kwa kutegemea haiba yake na tabia yake.
Namba moja kwa yule haifanyi kazi. Namba mbili tena apate mwanaume mwenzake ndio anaweza akapoa.
 
Jaribu kujenga dhana ya kujiamini.....ondoa zile negative perception KUHUSU nyuma YAKO
Kuwa na mtazamo chanya Juu ya Mbele YAKO(Jitamkie mazuri always) kuna kile kitabu cha mengi kinaitwa "I must,I can and I will" try try kufikiria chanya YAKO

Mwombe Mungu akuondolee kifungo hicho cha high,aibu na uwoga KWA imani utashinda

Jaribu kujaza kichwa chako na madini mbalimbali kama kusoma vitabu hii itakusaidia kuwa na mawazo meengi na kufanya kichwa chako fikirishi

Pia Jitahidi kufanya mazoezi unaongea pekee YAKO then unaenda KWA mtu hujamzoea au umemzoea then taratibu labdah katika jumuia au kikundi

Pia Fanya mazoezi na jichanganye na watu (Penye weng pana meeng)

Amini katika ww na mabadiliko hauanza na mtu binafsi ....
Haya ni machache yakukusaidia ndugu yangu
Asante sana
 
Mimi sipendi kuchekesha Ila muonekano wangu na jinsi nilivyo umekaa kuchekesha pia sizoeleki haraka inaweza kukuchukua mda sana kunifahamu na hua sifahamiki kirahisi mpaka unanifahamu unakua bado haujanijua na haujanitambua Ila umeishia kunisikia tu yaan in short sieleweki nipo so ambiguous & equivocal

acha uongo we bi hindu tunakujua ww si riziki
 
Aah we bwana hutabiriki. Sasa kama yule baba alikuzingua nini? Na mimi nilikuzingua ukataka kututawanyisha [emoji81][emoji81]
Sikumbuki mbona🙄🙄
 
Back
Top Bottom