Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
[emoji870][emoji870][emoji106] mule muleIntrovert
Antsocial
Napenda kukaa tu peke yangu
Nina hasira ila mwepesi wa kusamehe
vyote ninavyo ila kwa upande wa hasira kali inategemea unichukuliaje mm huwa nakuwa na hasira kali pale ninapokowa nimekerwa to the maximum ila mwepesi kusamehe na kuruhusu maisha yasonge kama kawaida.
Nadhani jf nzima we ndo utakuwa na ID ndefu kuliko wote[emoji2]MIMI NI MKIMYA SANA SIO MPOLE WATU WANACHANGANYA HIVI VITU
Duh hata mi kipindi nipo 4m one nilikuwa kama wewe. Tuliomaliza primary, wote walichaguliwa shule tofauti na niliyoenda mimi hivyo nilikuwa mpweke sana lakini baadae (form 2) nikaanza kupata marafiki nikaanza kubadilika badae nikawa napendwa na darasa kwa ule upole wangu. Ilifika hatua teacher akija kutembeza mkong'oto class kutokana na kelele,wanadarasa walikuwa wanamwambia "teacher huyo unamuonea huwa hapigagi kelele,huwa anajisomea"[emoji2] [emoji2]Kweli inaweza ikawa hivyo mi mwenyewe najishangaa, nilivyokua shule huwa naingia darasani pindi nimuonapo mwalim anaingia akitoka na Mimi natoka kuepuka fujo za darasani natafuta sehem km Library au darasa lililokua wazi nakaa watu wakitoka nje muda wa mapumziko mi ndio naingia darasani coz fujo zinakua zimeamia nje muda huo
Sent using Jamii Forums mobile app