Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Nina tabia ya kipaka paka, Mama akipika nyama sichezi mbali na nyumbani.....akitoka tu kwenda bafuni, nadokoa nyama na kuchota unga kidogo kumpelekea demu wangu wa kitaa apike chakula tule then tucheze mchezo wa baba na Mama.