Taja tabia yako ujue nani ana tabia kama yako

Taja tabia yako ujue nani ana tabia kama yako

Nina tabia ya kipaka paka, Mama akipika nyama sichezi mbali na nyumbani.....akitoka tu kwenda bafuni, nadokoa nyama na kuchota unga kidogo kumpelekea demu wangu wa kitaa apike chakula tule then tucheze mchezo wa baba na Mama.
 
Mi tabia yangu nikijikuna kwapa lazima ninuse, hata kwenye public sijui nitaacha lini wakuu.
 
Hamna kitu sipendi kama dharau, kudharirisha na kudharirishwa. Huu mpka anayevuka yyte yule lazima tukosane mazima.
Nakumbuka zamani nilivyokuwa mdogo hata nikipigwa najikaza nisilie kwa sauti ili tuu watu wasisikie wasije niambia kuwa nilikuwa nalia.
 
Kweli inaweza ikawa hivyo mi mwenyewe najishangaa, nilivyokua shule huwa naingia darasani pindi nimuonapo mwalim anaingia akitoka na Mimi natoka kuepuka fujo za darasani natafuta sehem km Library au darasa lililokua wazi nakaa watu wakitoka nje muda wa mapumziko mi ndio naingia darasani coz fujo zinakua zimeamia nje muda huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hata mi kipindi nipo 4m one nilikuwa kama wewe. Tuliomaliza primary, wote walichaguliwa shule tofauti na niliyoenda mimi hivyo nilikuwa mpweke sana lakini baadae (form 2) nikaanza kupata marafiki nikaanza kubadilika badae nikawa napendwa na darasa kwa ule upole wangu. Ilifika hatua teacher akija kutembeza mkong'oto class kutokana na kelele,wanadarasa walikuwa wanamwambia "teacher huyo unamuonea huwa hapigagi kelele,huwa anajisomea"[emoji2] [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom