Taja tabia yako ujue nani ana tabia kama yako

Taja tabia yako ujue nani ana tabia kama yako

Kiutaalam ni tatizo la mtu siyejali matatizo ya watu wengine but kijamii tulivyozoea ni mtu asiyependa kujishughulisha na ishu za watu wengine, asiyependa jichanganya na watu Pablo Blanco
Hahaaaa!! Wewe anti social by nature?? Au ubize tu na mambo mengi?
 
Mimi ni definition ya INTROVERT kabisa. Mkimya na kiukweli siko social kabisa. Marafiki sina wengi. Niko organised, napenda kila kitu kiwe mahali pake. Ninayo imani (ninaangalia vipindi vya dini na kusoma vitabu vya dini) ila ni mgumu sana masuala ya kwenda kwenye nyumba za ibada. Sipendi kupigiwa pigiwa kelele na watu fanya hiki fanya kile au makelele kwa ujumla, kwa kifupi nina msimamo na ninachoamini. Naweza nikaona unanipigia kelele, nikakwambia OK, nitafikiria ili tu uache kunipigia kelele, ukiondoka ndio imetoka. Sasa kuna baadhi ya wachache wananitafsiri kama nina kiburi kumbe wanashindwa kunielewa. Mimi ninawaelewa nao wanatakiwa wajaribu kunielewa. Napenda kuwapa watu space ila pia napenda nipewe space nami, alafu kuongezea nikipenda nina wivu sana.
Cha kushangaza sina hasira tofauti na watu wengi wanavyodai kuhusu watu wakimya.
Vipi una Demu??
 
Mimi ni mwembamba,nina kitambi kimeambatana na kibamia halafu nakoroma sana usiku.
 
Hahaaaa!! Wewe anti social by nature?? Au ubize tu na mambo mengi?
Nadhani by nature, sababu sipendi kaa maeneo yenye watu wengi unless ni lazima!. Vitu vyangu sipendi mtu avijue unless anahusika in a way kufanikisha!.
 
Ubishi, sinaga upande. Watu wengi wakiwa upande A mimi nakuwa B.

Na nikiwa sehemu nabishanaga na wale much know mpaka nawashinda, kwa hiyo mimi ndo nakuwa mtabe.

Akinishinda, narudi kutafuta points zaidi, siku tukionana tunaanzia tulipoishia.
 
Kuna kiwango.
Sasa Mtu kwa siku lazima apige tena sio chini ya tatu, yaani akiingia tu chumbani na kuvuta picha ya demu mkali, anapaka mkono mafuta. Ndio hawa wapole.
Mmmmhhh!!!! Ngoja tuwasubir waje watuambie ukweli
 
Back
Top Bottom