Kiutaalam ni tatizo la mtu siyejali matatizo ya watu wengine but kijamii tulivyozoea ni mtu asiyependa kujishughulisha na ishu za watu wengine, asiyependa jichanganya na watu Pablo BlancoHivi anti social ni mtu wa aina gani
Utakuwa unagawa sana chini kwa wenye nazo.
Mama huruma mnagawa sana nyie. Jamaa akilia tu unamuonea huruma.Ni Mkimya asiyenijua atahisi najisikia. Ni muongeaji lakin si kila mara inategemea na mood ya siku hiyo. Nina huruma mpk nakera
Nafikiri Watu wamaitafsiri vibaya humu wakimaamisha sio watu wa kujichanganya ila anti social ni mtu katili kwa jamii.Hivi anti social ni mtu wa aina gani
Hahaaaa!! Wewe anti social by nature?? Au ubize tu na mambo mengi?Kiutaalam ni tatizo la mtu siyejali matatizo ya watu wengine but kijamii tulivyozoea ni mtu asiyependa kujishughulisha na ishu za watu wengine, asiyependa jichanganya na watu Pablo Blanco
Mmmmh!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeNafikiri Watu wamaitafsiri vibaya humu wakimaamisha sio watu wa kujichanganya ila anti social ni mtu katili kwa jamii.
Kama kawaida chabo na nyeto ni vitu vinavyoenda sambamba kama chai na mkate
Sidhani kama kuna mwanaume hapigi nyetooWapole/ wakimya wengi ni wapiga nyeto, kama kuna mpole au mkimya humu ebu bisha tuone!
Vipi una Demu??Mimi ni definition ya INTROVERT kabisa. Mkimya na kiukweli siko social kabisa. Marafiki sina wengi. Niko organised, napenda kila kitu kiwe mahali pake. Ninayo imani (ninaangalia vipindi vya dini na kusoma vitabu vya dini) ila ni mgumu sana masuala ya kwenda kwenye nyumba za ibada. Sipendi kupigiwa pigiwa kelele na watu fanya hiki fanya kile au makelele kwa ujumla, kwa kifupi nina msimamo na ninachoamini. Naweza nikaona unanipigia kelele, nikakwambia OK, nitafikiria ili tu uache kunipigia kelele, ukiondoka ndio imetoka. Sasa kuna baadhi ya wachache wananitafsiri kama nina kiburi kumbe wanashindwa kunielewa. Mimi ninawaelewa nao wanatakiwa wajaribu kunielewa. Napenda kuwapa watu space ila pia napenda nipewe space nami, alafu kuongezea nikipenda nina wivu sana.
Cha kushangaza sina hasira tofauti na watu wengi wanavyodai kuhusu watu wakimya.
Tukio gani la kikatili ushawahi Fanya?Katili sinaga huruma
Vipi una Demu?1.Mpole
2. Mvumilivu
3. Mkimya; ila kwa marafiki napiga story
4. Mcheshi ukiwa na ukaribu nami.
5. Msiri zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ya mkimya na mpole ni nini??Mkimya lakini sio mpole...
Nadhani by nature, sababu sipendi kaa maeneo yenye watu wengi unless ni lazima!. Vitu vyangu sipendi mtu avijue unless anahusika in a way kufanikisha!.Hahaaaa!! Wewe anti social by nature?? Au ubize tu na mambo mengi?
Kwa upande wa mademu vipi?Nadhani by nature, sababu sipendi kaa maeneo yenye watu wengi unless ni lazima!. Vitu vyangu sipendi mtu avijue unless anahusika in a way kufanikisha!.
Kuna kiwango.Sidhani kama kuna mwanaume hapigi nyetoo
Mmmmhhh!!!! Ngoja tuwasubir waje watuambie ukweliKuna kiwango.
Sasa Mtu kwa siku lazima apige tena sio chini ya tatu, yaani akiingia tu chumbani na kuvuta picha ya demu mkali, anapaka mkono mafuta. Ndio hawa wapole.