usijenibashite bureee
Byee tukutane kesho Kolomijee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
That was good.
nakupenda pia mzee wa totoz [emoji8]My List
Kwa washkaji zangu ni
lee empire
Daby
werrason
CHARMILTON
Bonny
NIYOMBARE adui yangu namba moja kwa J
@Mods wote walio nipa bann
Transcend
Iceman 3D
STUNTER
Obe
Raimundo
@Musolini5
And all kapukuz
Kwa madada
joanah
Numbisa
miss charming
Shunie
BlessedHope
Clkey
Candyscorpion Huyu nahisi ni ubavu wangu uliotolewa sometimes
Paprika
And all kapukuz
Hao ni baadhi ya members ambao wapo na mm tangia najiunga hapa dec 1, shukran za pekee ziwaeendee brothers wa kapuku forum.
Mambo!Asantee Mr Cu[emoji18]
[emoji8] [emoji8] [emoji8] mzee mwenzangu wa mitaa ya katiSky El cat
Shunie huyu tuko nae mpka Insta
Stunter nigga
Mkuu totoz zinatoka wap tena Mbona sijawahi miliki msichana humunakupenda pia mzee wa totoz [emoji8]
si unajua mm ninavyokukubali chaubishi wangu [emoji8] [emoji8]Hapa sasa kwanza nawakaubali jf woote
Halafu wapo sasa wa kukwawakilisha
Aishah2016
Mrs Van
Hance Mtanashati
Mondray
Dinazarde
Sky Eclat
ISIS
MSAGA SUMU
Sakayo
Candyscorpion
PNC 1
Aleyn
CHIKIRA MTABIRI
Shunie
warumi
espy
Watu wangu woote wa majukwaa ya Barcelona fc, Real Madrid na Man utd.
Amen RaThank you, that means alot to me
Hahaha
Nilijua hutaiona
But i love everything you do.
Thanks again. See you around
kwani lazima umiliki [emoji23]Mkuu totoz zinatoka wap tena Mbona sijawahi miliki msichana humu
Sasa utajiiteje mkoloni wakat hujawahi kutawala popote na sijawahi tongoza mtu humukwani lazima umiliki [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]si unajua mm ninavyokukubali chaubishi wangu [emoji8] [emoji8]
hahahhh tumetoka mbali sana we mtu ni mbishi sana yaan nakukutaga sehem nabaki kucheka tu kimya kimya hukubali kushindwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naku luv sana Shunie, tume toka mbali
Toka enzi zile nina like 10, lakin 5 zote za kwako.
Haaha
Et cha ubishi.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]hahahhh tumetoka mbali sana we mtu ni mbishi sana yaan nakukutaga sehem nabaki kucheka tu kimya kimya hukubali kushindwa
hahahh we mtata ila me ni mtulivu mpk najiogopa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mi kijana mtulivu bhana
Kama mkuu wa mkoa vile , yaan mtulivu kama wewe.
Jinsi nilivo mtulivu wana niita pacha wa shuniehahahh we mtata ila me ni mtulivu mpk najiogopa