Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

My List
Kwa washkaji zangu ni
lee empire
Daby
werrason
CHARMILTON
Bonny
NIYOMBARE adui yangu namba moja kwa J
@Mods wote walio nipa bann
Transcend
Iceman 3D
STUNTER
Obe
Raimundo
@Musolini5
And all kapukuz
Kwa madada
joanah
Numbisa
miss charming
Shunie
BlessedHope
Clkey
Candyscorpion Huyu nahisi ni ubavu wangu uliotolewa sometimes
Paprika
And all kapukuz
Hao ni baadhi ya members ambao wapo na mm tangia najiunga hapa dec 1, shukran za pekee ziwaeendee brothers wa kapuku forum.
nakupenda pia mzee wa totoz [emoji8]
 
si unajua mm ninavyokukubali chaubishi wangu [emoji8] [emoji8]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naku luv sana Shunie, tume toka mbali
Toka enzi zile nina like 10, lakin 5 zote za kwako.

Haaha
Et cha ubishi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naku luv sana Shunie, tume toka mbali
Toka enzi zile nina like 10, lakin 5 zote za kwako.

Haaha
Et cha ubishi.
hahahhh tumetoka mbali sana we mtu ni mbishi sana yaan nakukutaga sehem nabaki kucheka tu kimya kimya hukubali kushindwa
 
hahahhh tumetoka mbali sana we mtu ni mbishi sana yaan nakukutaga sehem nabaki kucheka tu kimya kimya hukubali kushindwa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mi kijana mtulivu bhana
Kama mkuu wa mkoa vile , yaan mtulivu kama wewe.
 
Binafsi nawakubali watu wawili tu.
1. The bold. Huyu sioni wa kumfananisha hapa jf. Jamaa atakachokiandika ni kitu kiko linked and more deep.
2. Chief mkwawa. Jamaa anajitahidi sana kutoa ufafanuzi uliokwenda shule kwa marejeo mbali mbali na kwa utaalamu uliobobea.
3. Wengineo ambao kwangu naona hawatoshi.
 
Back
Top Bottom