Asante but hii haina storyUsiwe mvivu kiasi hicho: Travel - Nigeria - Nairaland
Hadithi ipo jukwaa lipi broooaliyeni vutia zaidi hadi ni mekuwa teja wa huu mtandao ni LEGE na dada angu mpenzi nameless girl kwa kuwa mimi ni mpenzi wa hadithi kwa kweli nilikuwa lazima niingie nisome mahadithi kutoka humu...hii imenifanya mmoja wa hao nilio wataja awe mtu wangu wa karibu nawasiriana nae japo si sana...
namkubari Heaven Sent ....
namkubari sana miss chagga na mshana jr pamoja na STUNTER wapo wengi wengine majina yao nashindwa kuyataja kutokana na ugumu wa kimatashi....
Hehehehahahahh nimeamua kujibashite [emoji23]
HeheheBaba paroko nasema shukrani sana kutambua uwepo wangu, na pia hawa wote uliowataja naomba waje kanisani kupokea upako
Hapana, mie nitabakihahahhah baba baroko nitakuja nao mm wote hao
penda mingiiiiii dearHehehe
Basi sawa, penda wewe pia
hahahhah kunena kwa lugha inataka moyo sana sa nyingine nabaki kimya tu kuwa msikilizaji lkn ipo siku Mungu atatufua tunaweza na sisiHapana, mie nitabaki
Kunena kwa lugha ni changamoto
Gwajima anakuona unajua mama watotoHehehe
Tangulia Central nikukute, sio kwa upako huo
Ameen mama mchungajiOooh my dear unanibariki sana ,asante kwa upendo ubarikiwe sana
Hehehehahahhah kunena kwa lugha inataka moyo sana sa nyingine nabaki kimya tu kuwa msikilizaji lkn ipo siku Mungu atatufua tunaweza na sisi
Yaani nyie kwa kujiBashite hamjambo, hamjui maana ya watatu lakini???Napenda kukili kila mmoja wenu hapa jf natambua uwepo wake ila ntawataja wachache:
SAKAYO
Shunie,
dem boy,
mamaafacebook
gbefa,
Zamiluni Zamiluni,
black woman,
kituko,
alibakari,
Ms lincolin,
mshana jr,
the boss,
bbc,
Evelyn salt,
dinazarde,
Sky Elcat,
QUIGLEY,
mtebetini,
Rahabu,
lizarazu,
fakalava,
heaven on Earth,
BLACK MARXIST
honey faith,
atug
stable woman
stunter,
werrason,
Mo 11 nk
hahahhah ila huyu baba paroko huyu na wasi wasi nae sanaHehehe
Sitaki kuamini kuwa ipo siku nami nitanena kwa lugha, tena kwenye kanisa la mtumishi toxic9!!! [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mr, Umeonaeee!!!!Gwajima anakuona unajua mama watoto
Hahahahh kumtafuta Mungu ni kazi hivyo jamani dear, wewe na shunie nitahitaji muda wa ziada kuwafundisha na kuwapa mafundisho ya kumjua bwana, mje kwenye kwaya kwanza.Hehehe
Sitaki kuamini kuwa ipo siku nami nitanena kwa lugha, tena kwenye kanisa la mtumishi toxic9!!! [emoji125] [emoji125] [emoji125]
So tunapendana!! [emoji7] [emoji7] [emoji7]penda mingiiiiii dear
Ndo maana nimegoma kwenda, hebu mkwende nyie mkuje kunipa mrejeshohahahhah ila huyu baba paroko huyu na wasi wasi nae sana