Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Mi Nawakubali sana wale wanaandika Hodi Humu ndani? Wengine wale wanaopigwa Ban.....
 
Asante but hii haina story
aliyeni vutia zaidi hadi ni mekuwa teja wa huu mtandao ni LEGE na dada angu mpenzi nameless girl kwa kuwa mimi ni mpenzi wa hadithi kwa kweli nilikuwa lazima niingie nisome mahadithi kutoka humu...hii imenifanya mmoja wa hao nilio wataja awe mtu wangu wa karibu nawasiriana nae japo si sana...
namkubari Heaven Sent ....
namkubari sana miss chagga na mshana jr pamoja na STUNTER wapo wengi wengine majina yao nashindwa kuyataja kutokana na ugumu wa kimatashi....
Hadithi ipo jukwaa lipi brooo
 
Napenda kukili kila mmoja wenu hapa jf natambua uwepo wake ila ntawataja wachache:

SAKAYO
Shunie,
dem boy,
mamaafacebook
gbefa,
Zamiluni Zamiluni,
black woman,
kituko,
alibakari,
Ms lincolin,
mshana jr,
the boss,
bbc,
Evelyn salt,
dinazarde,
Sky Elcat,
QUIGLEY,
mtebetini,
Rahabu,
lizarazu,
fakalava,
heaven on Earth,
BLACK MARXIST
honey faith,
espy
atug
stable woman
stunter,
werrason,
Mo 11 nk
 
hahahhah kunena kwa lugha inataka moyo sana sa nyingine nabaki kimya tu kuwa msikilizaji lkn ipo siku Mungu atatufua tunaweza na sisi
Hehehe
Sitaki kuamini kuwa ipo siku nami nitanena kwa lugha, tena kwenye kanisa la mtumishi toxic9!!! [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Napenda kukili kila mmoja wenu hapa jf natambua uwepo wake ila ntawataja wachache:

SAKAYO
Shunie,
dem boy,
mamaafacebook
gbefa,
Zamiluni Zamiluni,
black woman,
kituko,
alibakari,
Ms lincolin,
mshana jr,
the boss,
bbc,
Evelyn salt,
dinazarde,
Sky Elcat,
QUIGLEY,
mtebetini,
Rahabu,
lizarazu,
fakalava,
heaven on Earth,
BLACK MARXIST
honey faith,
atug
stable woman
stunter,
werrason,
Mo 11 nk
Yaani nyie kwa kujiBashite hamjambo, hamjui maana ya watatu lakini???

Asante mkuu toxic9, ila hizo herufi kubwa zantisha, isije kuwa ndo natakiwa central
 
Hehehe
Sitaki kuamini kuwa ipo siku nami nitanena kwa lugha, tena kwenye kanisa la mtumishi toxic9!!! [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahh kumtafuta Mungu ni kazi hivyo jamani dear, wewe na shunie nitahitaji muda wa ziada kuwafundisha na kuwapa mafundisho ya kumjua bwana, mje kwenye kwaya kwanza.
 
Back
Top Bottom