Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

aliyeni vutia zaidi hadi ni mekuwa teja wa huu mtandao ni LEGE na dada angu mpenzi nameless girl kwa kuwa mimi ni mpenzi wa hadithi kwa kweli nilikuwa lazima niingie nisome mahadithi kutoka humu...hii imenifanya mmoja wa hao nilio wataja awe mtu wangu wa karibu nawasiriana nae japo si sana...
namkubari Heaven Sent ....
namkubari sana miss chagga na mshana jr pamoja na STUNTER wapo wengi wengine majina yao nashindwa kuyataja kutokana na ugumu wa kimatashi....
mkuu @edd_mhando kuna mzigo wa Queen monica vipi unasoma
 
Zamaaaaaaaani.

Umemfungia wapi? Tunammisi humu hasa sisi tunaopenda taarifa zake za Kiudukuzi na za Kijasusi ambazo hutufanya sisi Mangumbaru ( tusio na maarifa na upeo wowote ) tuliotukuka Kuelimika na kuyafahamu makubwa sana ambayo mwenzetu ( Mumeo ) amebarikiwa nayo.
 
Umemfungia wapi? Tunammisi humu hasa sisi tunaopenda taarifa zake za Kiudukuzi na za Kijasusi ambazo hutufanya sisi Mangumbaru ( tusio na maarifa na upeo wowote ) tuliotukuka Kuelimika na kuyafahamu makubwa sana ambayo mwenzetu ( Mumeo ) amebarikiwa nayo.
Hahahaaaaaaa hubbie bae njoo huku pls The bold

BTW,mbona yupo na anashusha vitu kama kawa?
 
Naweza taja kupitia avatar zao , kama great thinker unaweza kuwafahamu, naruhusiwa??
 
JamiiForum ni kama chakula ambapo kila kiungo kina mchango wake wa kipekee katika kukifanya chakula kuwa kitamu....na kila mmoja kukifurahia......

Kumtaja mmoja mmoja ni sawa ni kuunga mchuzi huku ukiwa umesahau kitunguu...au kupika pilau huku umesahau chumvi.....

Mimi binafsi nawashukuru watu kwa kuifanya JF kuwa hivi ilivyo kwa michango yao mizuri na kero zao.......

GOD BLESS YOU ALL.....


THINK BIG
TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY.....
 
Back
Top Bottom