Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Wakuu leo nataka tutaje watu watatu ambao wanaokufanya uendelee kuipenda JF kiasi kwamba usipoingia JF unakuwa unawakumbuka sana

Pia hata ukisikia hizi tetesi za huenda huu mtandao wetu pendwa ukifungiwa utawamiss sana

Tukianza na mimi nawakubali hawa

1)Mo 11

Huyu dogo huwa nacheka sana kila nikiona comment yake


2)Le mutuz

Huyu jamaa huwa pia ananifurahisha sana aisee mpaka najiuliza kama alishawahi kuugua ukichaa enzi za utoto wake maana majibu yake na umri wake aisee ni vitu viwili tofauti

3)Brave one

Huyu dogo naye thread zake zimetulia sana ,ukitaka thread za mastaa basi mtafute huyu jamaa mpaka najiuliza huyu jamaa anapataga wapi habari maana zingine ni nyeti sana yani.
Lizabon
Miss natafuta
Galatia
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] uliniona wapi ambako kunaleta mashaka juu ya utumishi wangu, mwendokasi sipigi, bangi ndiyo kwanza sio rafiki, chuchu saa sita ndiyo wala sipendi, [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hahaaa
Nimejikuta tu nacheka
 
Mwenzangu!!!
Nafwaa mie........
Sio kwa unabii huu jamani, kesho msiponiona mjue tayari
Kabla hujafa usiache kuja nikupake mafuta mgongoni, mafuta ya mpako wa mwisho...

Hakika utakufa kwa amani... na utafufuka nami baada ya masaa matatu.
 
Back
Top Bottom