Tetesi: Tajiri Alietekwa Anajiandaa Kueleza Dunia Kila Kitu, waandishi Kuitwa Muda wowote sasa

Wewe upo CCM?
 
Kweli kiongozi .....

Hawa Propaganda za CCM hawazijui

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
AISEE, UNAJUA KUJIPOTEZEA MUDA ....

NDOTO ZA MCHANA

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Je atasema pia alivyovalishwa dera lililolowanishwa na maji...
 
Muweke kwenye orodha na yule mtu wa mapambio anaejiita jina la kanisa ambae kapanda ndege yuko hukooo kwa maablino kakataa kurudi BongoFleva Land.

NB. Joke 😁
 
Hii code imekuwa ngumu mnoo kwangu kuiUnlock mwenye supportive documents tafadhali

Msanii mmoja wa kufokafoka baada ya kupatikana kimchongo baada ya kutekwa kimchongo aliongea na waandishi kimchongo huku pembeni akiwa amekaa ngozi ya kenge (alipigwa polonium huyu ngozi ikawa kama ya kenge)… sasa kiitifaki lakini kimchongo alikuwa boss wa hao wenye codes…isingekuwa yeye wangejitokeza hao! Unganisha dots…
 
Roma Mkatoliki atuambie ni nani waliomteka.Tishio lilishakufa yupo huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…