Tajiri aliyemuua mwanaye ili abaki na mkewe

Duh,kwa hyo mzee kumbe alikuwa anawakatia bima ya maisha watoto wake ili baadae awaue apige pesa kutoka kampuni ya bima?

Dunia simama nishuke aisee
Alikuwa na jumla ya watoto tisa. Kafanya hivyo kwa watoto wawili, Emmanuel na Dan. Kwa huyu Dan, alikuwa na sababu ya ziada, sababu yenyewe ni mkewe.
 
Sio mbaya ungeonesha appreciation Kwa original owner wa bandiko kuliko kuchukua credit tu

Kenyan Storyteller
 
Sio mbaya ungeonesha appreciation Kwa original owner wa bandiko kuliko kuchukua credit tu

Kenyan StorytellerView attachment 3042456
Brother, huyo mtu sijawahi nikamjua na hii ndo mara ya kwanza namwona hapa. na infact siwezi fanya huo ujinga maana mimi mwenyewe naelewa kazi ya kuandika ilivyo. This shit nilikiona kwa mara ya kwanza youtube kupitia watu hawa then nika-dig in with google. Soma my article to the end, then comment again.
 

Attachments

  • Screenshot_20240714-203406.png
    679.8 KB · Views: 9
  • Screenshot_20240714-203730.png
    87.1 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…