GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Una uhakika gani kuwa si Polisi?Wee jamaa..
Una chambuaga mambo vzri mno yaani kama ungekua polis basi ungekua kile kitengo cha FFU an mambo ya investigation mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika gani kuwa si Polisi?Wee jamaa..
Una chambuaga mambo vzri mno yaani kama ungekua polis basi ungekua kile kitengo cha FFU an mambo ya investigation mkuu
Humtakii mema ee! Unataka apigwe kama mbwa Koko?Kamwambie IGP J Murillo kuhusu hilo
Una uhakika gani kama ni polisi..?Una uhakika gani kuwa si Polisi?
Huyo mzee hakupitia jando? Alithubutuje kufanya uharamia kama huo? Hiyo ilikuwa ni sawa na kuzini na binti yake wa kumzaa.Kiburi cha Farida ndani ya nyumba kilianza akiwa tayari na mahusiano na mzee Wangondu. Unadhani kwanini alianza kuvimba, mzee? Ni baadae tu ndo mwana alikuja kujua kumbe shida yote chanzo ni mzee.
1. Sina uhakika kama ni PolisiUna uhakika gani kama ni polisi..?
Ahahaha ila nimependa ulivoweka na namba hapo...1. Sina uhakika kama ni Polisi
2. Sina uhakika kwamba siyo Polisi
3. Lakini ana uweledi wa kipelelezi.
Kumbe ni afande! Upo kitengo gani mkuu?Ahahaha ila nimependa ulivoweka na namba hapo...
Alafu ukute wewe ndo polisi sasa ...
Mkuu vipi sisi tulio omba upolisi wanatoa mkeka lini ..?
Mkuu naskia kuwa tunaotumia vyeti vya form IV tuna nafasi kubwa sana hi ni kweli .?Kumbe ni afande! Upo kitengo gani mkuu?
Acha basKafupi na wenzio wanalalamika ni ndefu sana? 😄
Na huyo frida hana akili, wanaume wote kakosa hadi atembee na Baba mkwe wake!? Hata hao watoto unaweza kuta ni wakuchakachua na wala si wa mumewe!! Kuna wanawake wako kama Mashetani kweli!!Mzee aliendekeza tamaa. Unamwekaje ndani mwanamke alotoka kwa mwanao? Sasa Frida amebakia ingali wote wawili wametangulia kaburini.
Ndio sio sawa ila ilikuwa inasameheka ukizingatia ni mwanaye....ange mpa adhabu nyingine tofauti ni kumuua.Sema lile kofi la shavu mbele ya watu, ni fedheha sana kwa tajiri.
Yaani utajiri wa mo na bharesa umenyooka nani kasema.Mpaka mkute tajiri wa kiafria mwemye pesa zilizonyooka kama zakina Barres au mo Dewji ni hakuna..nimajitu meusi ya kuzimu mengi.
Haijawahi kutokea kitu cha kuitwa "utajiri ulionyooka" hapa duniani.Yaani utajiri wa mo na bharesa umenyooka nani kasema.
Hivi mmegundua kiini cha msala wote ni Mwanamke?!
Ogopa sana papa.
Ndefu ila tamu sana kuisoma.Ndefuuu, nitarudi hapa
Si ndio tamu kwenu nyinyi kina mamaNdefuuu, nitarudi hapa