Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kumbuka alikua akila bibi ya mwanae, so mzee alikua na sababu mbili.Kuwakatia bima wanao kisha uwaue upige hela hio ni high level ya ukichaa, mzee alikuwa psychopath
Utamu wa papuchi ya mkwewe na pesa