Tajiri aliyemuua mwanaye ili abaki na mkewe

Tajiri aliyemuua mwanaye ili abaki na mkewe

Huyo mzee watoto wake wa kuzaa tuu katafuna wawili duh
Kwenye hayo mabwawa yake ya samaki na migodini itakuwa watu baki kafukia mamia
Angedumu huenda tungejua mengi. Bwana James Mahinga aliishia kuhukumiwa miaka miwili jela, alijitetea aliwatafuta watu kwaajili ya kumuadabisha mtoto wa boss lakini sio kumuua kama ilivyotokea. Anasema yeye mwenyewe alishangaa namna Wangondu alivyoipokea kwa furaha habari ya mtoto wake kufa.
 
Nani amekwambia pesa ya Mo Dewji imenyooka? yaliyo nyuma ya pazia usiyasemee kabisa.
Anasema Simba inampatia hasara na inamkosesha Furaha Ila hapo hapo hataki kuachia uwekezaji
Sema lile kofi la shavu mbele ya watu, ni fedheha sana kwa tajiri.
Shida ni Upendo Mzee labda alikua anamkomoa Manzi aliemzingua mwanae Ila mwanae hakumuelewa Mzee angempa nafasi amsikilize kwa makini
 
Angedumu huenda tungejua mengi. Bwana James Mahinga aliishia kuhukumiwa miaka miwili jela, alijitetea aliwatafuta watu kwaajili ya kumuadabisha mtoto wa boss lakini sio kumuua kama ilivyotokea. Anasema yeye mwenyewe alishangaa namna Wangondu alivyoipokea kwa furaha habari ya mtoto wake kufa.
Kumbe jamaa ndio alikwepa kimafia namna hiyo 😁
 
Kumbe jamaa ndio alikwepa kimafia namna hiyo 😁
Upendo Mzee alikua amemchukulia Frida km Malaya tu baada ya kumzingua mwanae Daniel tofauti na Daniel alivyomchukulia kwa hio Dan angempa nafasi Mzee wake anataka kumwambia nini lakini sababu ya Tungi ndio akaona ngoja amtwange makofi unamtwanga makofi Baba yako si hapo hapo anasema hili bao kwanini sikulipigia NYETO?
 
Upendo Mzee alikua amemchukulia Frida km Malaya tu baada ya kumzingua mwanae Daniel tofauti na Daniel alivyomchukulia kwa hio Dan angempa nafasi Mzee wake anataka kumwambia nini lakini sababu ya Tungi ndio akaona ngoja amtwange makofi unamtwanga makofi Baba yako si hapo hapo anasema hili bao kwanini sikulipigia NYETO?
Kiburi cha Farida ndani ya nyumba kilianza akiwa tayari na mahusiano na mzee Wangondu. Unadhani kwanini alianza kuvimba, mzee? Ni baadae tu ndo mwana alikuja kujua kumbe shida yote chanzo ni mzee.
 
Back
Top Bottom