Hana lolote anapenda tu kujimwambafai IGπππ....ila ukidig deeper alichokisema kina mantiki japo lugha aliyotumia sio nzuri πΆπΆSasa si ana mchuma wa nguvu kwa nini asijiite tajiri π
Ana ulimbukeni flani hivi huyo jamaaSjui ni ulimbukeni sjui ni ujinga... Hii nchi tuna tatizo kubwa Sana
siku wakimla live usiache pia kupita njia yakehuyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
Kitenge yuko vizuri mzee yeye na mwijaku ni mbingu na ardhiNa Kitenge pia
Yah tunamuombea iwe hvyo lakini si kwa maigizoLakini usisahau lisemwalo lipo, na kama halipo litakuja.
Huyo Elon Musk ni above next levelKila mtu ana style yake ya maisha. Hata Elon Musk Kuna mda anajitoa ufahamu
Kwamba hata hio gari yenye plate no jina lake sio lakeNamjua vizuri sana dogo hilo tumekulia the same street wazee wetu walikuwa wanaukarbu ule wa mtaa sasa nna kama week naona videos zake na anayoyafanya na yeye ni mbingu na ardhi.
TUSIAMINI SANA MITANDAO KWANI MENGI SIYO UHALISIA KITAA
Una umri gani?Kwamba hata hio gari yenye plate no jina lake sio lake
Sidhani kama anaweza kusoma πAkili ya kipuuzi kama hii tutaiweka wapi? Hebu akasome nukuu za aliyewahi kuwa tajiri namba moja duniani kabla hajafa
Mkuu hatuja kuelewa hapaa..embu sahihisha sentensi yako wana nzengo tukuelewe..[emoji848]huyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
safi sana watu na ma LULMOD wenuπππππhuyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
wewe elewa ana lulmud wakeππππMkuu hatuja kuelewa hapaa..embu sahihisha sentensi yako wana nzengo tukuelewe..[emoji848]
Sent from my TECNO BD2 using JamiiForums mobile app
usipende kushabikia sana vitu usivyovijua. Kutokuwa kwake na demu inaweza kuwa yeye ndio demu kwa wanaume wenzie. Sasa endelea kumuona kama lulmod wako.huyΓ³ jamaa nimafia sana.hata dem hana yeyΓ© ni piga sepa haweki Kambi.
Cc King Kong IIISISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE
"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'
"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?
"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]
Cc King Kong IIINamjua vizuri sana dogo hilo tumekulia the same street wazee wetu walikuwa wanaukarbu ule wa mtaa sasa nna kama week naona videos zake na anayoyafanya na yeye ni mbingu na ardhi.
TUSIAMINI SANA MITANDAO KWANI MENGI SIYO UHALISIA KITAA
Kuna mwengine anajiita tajiri chui. Yani vituko. Mkuu sijawahi kuona jamii ya wa asia china na japan korea etc ama wahindi wanashobo za kisenge kama hizi za kuanika mali zao mtandaoni.Ana ulimbukeni flani hivi huyo jamaa