Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kama wa mama yakoUna umri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wa mama yakoUna umri gani?
Unamlinganisha Elon Musk na huyo limbukeni?Kila mtu ana style yake ya maisha. Hata Elon Musk Kuna mda anajitoa ufahamu
Role modelhuyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
Lulmod ...huyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
Kwamba we naye umeishi Ipinda?Namjua vizuri sana dogo hilo tumekulia the same street wazee wetu walikuwa wanaukarbu ule wa mtaa sasa nna kama week naona videos zake na anayoyafanya na yeye ni mbingu na ardhi.
TUSIAMINI SANA MITANDAO KWANI MENGI SIYO UHALISIA KITAA
Katumia lugha nzuri kufikisha ujumbe kwa watuHana lolote anapenda tu kujimwambafai IG[emoji23][emoji23][emoji23]....ila ukidig deeper alichokisema kina mantiki japo lugha aliyotumia sio nzuri [emoji55][emoji55]
Mchuma ni liability mkuu si assetSasa si ana mchuma wa nguvu kwa nini asijiite tajiri [emoji23]
Angalia usije kosa hekima kama yeye alivyokosa.huyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
Sawa😃😃🙌Katumia lugha nzuri kufikisha ujumbe kwa watu
Ni mtu wako wa karbu?Hahahaaa Chief Godlove ana mpunga huyo dogo ,angekuwa ana act wazee wa kikosi kazi wangekuwa washapita nae...Inaonekana Dogo alipiga
Ndiyo mnavaa hizo nguo za pinki?huyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.