Tajiri kijana awaponda masikini wanaojadili sakata la bandari

Tajiri kijana awaponda masikini wanaojadili sakata la bandari

Tajiri yeyeto Huwa na uchungu na pesa zake huwezi kuta anakula bata za show off,Hawa ni scammers,wazee wa pesa za makafara.
Eti tafuta Hela yeye anazitafutia wapi aonyeshe mitikasi yake cash flow zake zinaingiaje
 
Kila mtu ana style yake ya maisha. Hata Elon Musk Kuna mda anajitoa ufahamu
Sio kuwa anajitoa ufahamu ni mtu wa masikhara Kwa mambo ya masikhara.Lakini upstairs Yuko vizuri kuliko huyo Punguani anayejihita tajiri.
 
SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE

"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'

"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?

"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]

Yaani huyu ndo tajiri kijana?🤔
 
SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE

"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'

"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?

"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]

Tajiri ambae hana p.o.box mjini,na gari manunuzi yake yanakaa kwenye wallet
 
Back
Top Bottom