bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ni mtu wako wa karbu?
Sio kuwa anajitoa ufahamu ni mtu wa masikhara Kwa mambo ya masikhara.Lakini upstairs Yuko vizuri kuliko huyo Punguani anayejihita tajiri.Kila mtu ana style yake ya maisha. Hata Elon Musk Kuna mda anajitoa ufahamu
Hahahaha anapenda kujipakulia minyamaHapana namuona tu mitandaoni akijinadi.....Alisema wazi kama unamuona yeye anafanya acting basi na wewe act kuwa na magari ,majumba ,pesa na kula bata.
Yaani huyu ndo tajiri kijana?🤔SISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE
"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'
"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?
"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]
YaaniSiku hizi ukifunga fungu la milioni tano ukawa unalipost mtandaoni tayari we ni tajiri
Ndivyo ajiitavyoYaani huyu ndo tajiri kijana?🤔
Ni mnyaki sio msukuma huyo dogoHuyu Jamaa usukuma mwingi.
Kama ni Lulmod wako basi kazi ipo mwagitoHuyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
Hapana ni mtu wa iringaNi mnyaki sio msukuma huyo dogo
Kwani Iringa hakuna walowezi wa kinyaki?Hapana ni mtu wa iringa
Tajiri ambae hana p.o.box mjini,na gari manunuzi yake yanakaa kwenye walletSISI MATAJIRI HATUJASIKIA KUHUSU BANDARI KUUZWA "CHIEF GODLOVE
"Sisi Matajiri Hatujasikia kuhusu Bandari Kuuzwa lakini Kila siku tunasikia Maskini Ohhh Bandari Inauzwa Hivi Mpo serious kweli?'
"Wewe Toka umezaliwa Hujawahi Hata Kununua Gari Hata kuagiza baiskeli au Pikipiki kuipitisha Bandarini unakaa mtaani Unajadili Bandari Ina Uzwa Hivi una Akili kweli Wewe! Badala ya Kwenda kutafuta Pesa Unakaa kijiweni Kujadili Bandari Kwani utakula Bandari?
"Kwani Hiyo Bandari ndio inakuletea Chakula Nyumbani, au kwamba Wewe Huwa unaenda Kuchukua Hela Kila siku Pale Bandarini? Huo muda mnaotumia kujadili kuhusu Bandari si mtoke Mkatafute Hela " Mwanamitandao na Tajiri Kijana Chief Godlove [emoji2788]
Unajua tatizo letu ni wivu kaka, Mimi sioni tatizo la jamaa ilimradi hamdhuru mtu. Acha Aishi maisha yakeUnamlinganisha Elon Musk na huyo limbukeni?
Huyu jamaa ni Lulmod wangu sana napita kwenye njia zake.hanaga kuchekea MTU.
Kwa level aliyopo jamaa sio maskiniTajiri Gani anaendesha Toyota bhana em aache Useng3
Nilipo soma lulmod nikafikiri ni msamiati mpya.Role model