Tajiri MO hebu punguza Sifa katika kipindi hiki cha Usajili, unataka makombe yote ubebe wewe? Bienvenu Valentin NOMA

Tajiri MO hebu punguza Sifa katika kipindi hiki cha Usajili, unataka makombe yote ubebe wewe? Bienvenu Valentin NOMA

Kwani ajabu,tunasajili uwezo wa mchezaji au timu?
Screenshot_20240707-143524.jpg


Sawa Tukumbushane DECEMBER..!!!

#YNWA
 
Mbumbumbu Mkimaliza kusajili wachezaji msisahau kusajili na marefa kabisa maana hata mumlete Mbappe kipondo cha uto kiko pale pale!!
 
Mbumbumbu Mkimaliza kusajili wachezaji msisahau kusajili na marefa kabisa maana hata mumlete Mbappe kipondo cha uto kiko pale pale!!
Msimu huu utajua kwanini Nyanya chungu haziliwi zikiwa za moto
 
Nasubiria kuona Semaji la CAF litakavyokuwa linatambulisha kwenye Simba day.

Kama vipi;

Tukutane Kwa Mkapa 💪
 
Usiishi kwa historia bro
Sio historia bali tunawajua mashabiki wa bongo, hamna kitu mnacho kihitaji kwa sasa kama uvumilivu, kwani husijiwekee matarajio makubwa kwa timu inayo undwa,lazima itahitaji mda timu kukaa vizuri.

Kwani timu mpya,kocha nae mpya ambaye hajawahi kuwa kwenye nafasi ya head coach kwenye timu yoyote inabidi mumvumilie, kwani inawezekana falsafa zake zinaweza zisiendane na wachezaji mlio wasajili.

Mnaweza mkajifunza kupitia Chelsea msimu 23/24, sema wenzetu maturity yao ni kubwa, ila sisi hatuna uvumilivu kila shabiki kocha. MO na viongozi wamemaliza sehemu yao,je mtakubali kuwa wavumilivu na kuwapa muda wachezaji na kocha iwapo timu ikipata matokeo ya hovyo.
 
Bora Mangungu atapumzika sasa, maana usajili wote ni MO

Timu ikifanya vibaya Msimu ujao tutashona midomo
 
@H.Kigwangala mzee wa nje ya box. Toa hata hela ya supu za wachezaji basi
 
Baada ya ligi kuanza zile mambo za "Bahasha za Gsm"hatutaki kuziona...maana huwa mnajitoa ufaham.
 
Oya wee kuna beki la kimataifa la Ivory Coast ...ana udugu na Kolo Habib Toure hatari sana huyu jamaa katambulishwa sasa hv

Karaboue Chamoue
 
Bila ya Salamu.

Huwa najiuliza nilichelewa wapi kujiunga na Simba Sc? Mpaka leo nikifikiria nakosa majibu.

Kifupi katika hiki kipindi cha wiki mbili nimeshuhudia chama langu jipya likifanya usajili wa kufuru. Magugu na mapandikizi yaliyokuwa yakihujumu timu yetu yametolewa na kuletwa vyuma vipya virudishe makali ya Simba.

Wahenga walisema Simba halali na njaa ila anaweza kuchelewa kula na hili nimeliamini kwa sajili za kimataifa zinazofanywa kimafia na Tajiri namba moja kijana Africa, namzungumzia si mwingine bali ni Trilionea Mohammed Dewji.

Leo hii ametangazwa beki wa kushoto ,mzaliwa wa mwaka 2000 (Kidume cha 2000) ,mchezaji wa timu ya Taifa ya Burkina Faso ,kinda mwenye miaka 24 , si mwinngine bali ni VALENTIN NOUMA.

Ni left back mwenye nguvu na kasi ya ajabu ya kupanda kushambulia na kuzuia huku akiwa ni specialist wa mipira iliyokufa , africa hakuna wa kumfananisha nae labda kwa karibu uwezo wake unafanana na kiungo wa westham united ,James Ward prowse. Simba sasa hivi licha ya kuwa itapata mabao mengi kutoka kwa viungo na washambuliaji wake bado pia itafaidika kwa magoli yatakayotokana na mipira iliyokufa (dead balls).

Bienvenu Valentin Nouma (aka Van NOMA)

Kazini kwa Tshabalala kuna Kazi.View attachment 3035728
Ila safari hii hatutakubali lawama ziende kwa Mzee wetu Mangungu.
 
Back
Top Bottom