Tajiri MO hebu punguza Sifa katika kipindi hiki cha Usajili, unataka makombe yote ubebe wewe? Bienvenu Valentin NOMA

Wakati wa furaha ndiyo huu na ile siku ya simba day. Halafu Ligi ikianza kuchanganya sasa, na lawama nazo zinaanza kwa kumlaumu Moo huyo huyo kwa kusajili wachezaji magarasa!! Mangungu naye atalaumiwa!! Ni suala tu la muda.
 
Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya.
 
Korozdad furahini kabisa ligi ikianza mtatafutana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…