kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Nimepita hapo, nimeona jamaa wako na madumu wananyonya mafuta kutoka kwenye Tank la gari.
Chukua tahadhari.
Chukua tahadhari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari... Safi sana bora kureport...Nimepita hapo,nimeona jamaa wako na madumu wananyonya mafuta kutoka kwenye Tank la gari.
Chukua tahadhari.
Hivi kwa nini kumeibuka kundi kubwa la kutetea ujinga na uhalifu?Acha umbea na unaa wabongo mmegeuka wanawake
Unajuaje kama anaiba,labda ni la kwakeHivi kwa nini kumeibuka kundi kubwa la kutetea ujinga na uhalifu?
Mtu amewekeza mamilioni na amempa ajira huyo dereva Kisha anamuibia...from nowhere unamtetea!
Aisee mawazo ya maskini hayautavalishwa dera boy..
wee inakuwasha nini??
acha usnich..
maboss wanapunja watu pesa acha wapigwe tuu
Tatizo nyie madereva huwa hamridhikiAcha umbea na unaa wabongo mmegeuka wanawake
Mimi tajiri sina shida acha dereva wangu ale urefu wa kamba yake, ila na wewe uache kiherehere.Nimepita hapo,nimeona jamaa wako na madumu wananyonya mafuta kutoka kwenye Tank la gari.
Chukua tahadhari.
Sawa tajiriMimi tajiri sina shida acha dereva wangu ale urefu wa kamba yake, ila na wewe uache kiherehere, tafuta mwanaume akupee mimba
Sawa tajiri
Kwa nini wasubiri usiku? Halafu vichochoroni hukoukisikia uchawi ndio huu,wewe kupita tu umeshajua wanaiba?vipi kama wanafaulisha kutoka tenki la akiba kwenda main tank?
Sawa derevaUtavaa dera zero brain ww
Naona hapa wanavyotoa povuMadereva watakutukana