Tajiri wa HAMAS anayeishi kwa raha Qatar asema hadi Israel ifutwe ndio amani ipatikane

Tajiri wa HAMAS anayeishi kwa raha Qatar asema hadi Israel ifutwe ndio amani ipatikane

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Akataa Wapalestina wasipewe dola yao, (yaani two-state) msimamo wake ni mapigano yaendelee hadi Israel ifutwe, tatizo anayasema yote haya akiishi kwa raha na starehe huko Qatar wakati wana Gaza wanaendelea kuuawa na majengo yao kubomolewa kote.

Hii iwafikie mashabiki wa maugaidi ya HAMAS, msio waislamu, mjiulize kama kwa namna yoyote mnachoshabikia kitaleta amani ukanda huo.

Ifahamike kuifuta Israel hata ndoto haiwezekani, wale wana hadi manyuklia, na kama vipi mkiwafikisha kwenye kona wanafanya kitu kinachoitwa "Samson option", itafuteni kwenye Google nini maana ya kiapo cha "Samson option" ambacho wanajeshi wote wa Israel hulishwa.


View: https://youtu.be/ULjTL9IYwkQ
 
Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
 
Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
Waarabu wabinafsi
 
Huwa tunawaambia hakuna kundi la kigaidi linalotetea dini muelewe
 
Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
Israel ndiye atafutiwe pa kuishi.
 
Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
Kwanini marekani nchi kubwa sana asikate kipande chake kidogo akawapa waisraeli ili kumaliza huu mgogoro?
 
Yah huo ndo mkataba wetu ulingoni anatoka mmoja tu ili ugomvi usijejirudia.
 
Waongezewe silaha, acha wamalizane, ujue Israel kipindi wenzao wanapigana WWII Israel haikuwepo.

Hakuna nchi korofi korofi kama Germany pale ulaya, sa hivi wametulia baada ya kufahamu vita ni nini.

Israel haijatambua utamu wa vita.
Huwezi kuitoa israel kama bado hujafanikiwa kumvaa marekani hilo jambo halitawezekana mpaka marekani aanguke. Vita si nzuri lakini watu miaka nenda miaka rudi hawataki kuishi kwa amani wacha tu wauane maana diplomasia ya kila aina imetumika lakini hakuna chochote. Na ninafikiri kama trump akishinda uchaguzi sijui itakuaje, chanzo hapo nu marekani
 
Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
Hapo kwenu watusi wanadai watambueni sasa
Huko Kg waha mnawakamata kama wahutu
Zanzibar kila leo maneno
Yaani Nchi image kama andazi
Hebu tupeni dual kwanza na sisi 😄
 
Back
Top Bottom