Tajiri wa HAMAS anayeishi kwa raha Qatar asema hadi Israel ifutwe ndio amani ipatikane

Tajiri wa HAMAS anayeishi kwa raha Qatar asema hadi Israel ifutwe ndio amani ipatikane

Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
ulichoandika,unajielewa kweli!!!
kwani na ukubwa huu wa Tanzania tumeshindwaje kuwamegea raia wa GOMA na KIVU ardhi ili mgogoro uishe pale CONGO...wacha utoto
Yaani saudia iwape ardhi watu ambao tayari wana ardhi?
 
Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
wapalestina wanataka kuwafuta wayaudi na sio ardhi , walishapewa ardhi kubwa kuliko israel ya 1948
 
Kwa hiyo Ukraine amemchokoza nani.?
Screenshot_20230320-175502.png
 
Akataa Wapalestina wasipewe dola yao, (yaani two-state) msimamo wake ni mapigano yaendelee hadi Israel ifutwe, tatizo anayasema yote haya akiishi kwa raha na starehe huko Qatar wakati wana Gaza wanaendelea kuuawa na majengo yao kubomolewa kote.

Hii iwafikie mashabiki wa maugaidi ya HAMAS, msio waislamu, mjiulize kama kwa namna yoyote mnachoshabikia kitaleta amani ukanda huo.

Ifahamike kuifuta Israel hata ndoto haiwezekani, wale wana hadi manyuklia, na kama vipi mkiwafikisha kwenye kona wanafanya kitu kinachoitwa "Samson option", itafuteni kwenye Google nini maana ya kiapo cha "Samson option" ambacho wanajeshi wote wa Israel hulishwa.


View: https://youtu.be/ULjTL9IYwkQ

Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, Wazayuni hawana ardhi ata inch 1, walikwapua ardhi ya palestina na kujitengenezea ka-state, waliwekwa pale wakiwa na ahadi ya kulindwa ni waingereza na US sasa siku za mwisho wao zimekaribia Hamas wataifuta Israel yote na kurejesha ardhi kwa wazawa Palestine
 
Lakini mimi nashangaa, Saudi Arabia wana nchi kubwa sana na sehemu kubwa haikaliwi na kiumbe chochote sasa kwa nini basi wasiwagawie wapalestina ardhi kidogo iwe yao milele?

Hiyo itamaliza kabisa mgogoro uliopo kati ya Israel na Palestine na amani ya kudumu itakuwepo mashariki ya kati.
Duh!.. hao Wapalestina wana ardhi yao huko Gaza na West bank....
 
Hakuna lisilowezekana kwa Mungu, Wazayuni hawana ardhi ata inch 1, walikwapua ardhi ya palestina na kujitengenezea ka-state, waliwekwa pale wakiwa na ahadi ya kulindwa ni waingereza na US sasa siku za mwisho wao zimekaribia Hamas wataifuta Israel yote na kurejesha ardhi kwa wazawa Palestine

'mungu' wenu ameshindwa na Mungu wa Wayahudi, ameshawakimbia, pale pamezikwa mababu wa Wayahudi akina Musa, nyie dini yenu hiyo imeanzishwa juzi na waarabu leo mnataka mkawafute Wayahudi, mnaendelea kufutwa nyie wenyewe.
 
Back
Top Bottom