kipwintoo wewe ni mpumbavu, umekaa Kariakoo na kufanya biashara lakini bado huna mali kama ya Primo Mushi. Kazi yako ni kumsifia tu kama chawa wa siasa. Tuonyeshe gorofa lako, maskini waheedHuna akili mimi nimekaa kkoo na nimefanya biashara kkoo nawajua wauza vitenge wote pamoja ni mushi acha uboya wewe kama umeuza mali ya urithi tulia imeenda hiyo
Omba sana yasikukute mkuu.Tutasingizia uchawi bule wengi wetu biashara hatuwezi mfano mtu anakopa pesa kuanzisha biashara tena hasio ijui kisa kaona watu wanafanya wengine wanakopa kupeleka watoto shule kwa mkumbo kwa ukopaji huo huo mkopa utaludishaje?kama sio kuchukuliwa nyumba
Hahaaaaa, umenifanya nicheke sana mkuu.Hadithu njoo uongo njoo utamu kolea
😁😁😁😁😁Hahaaaaa, umenifanya nicheke sana mkuu.
Una shida wewe sio burekipwintoo wewe ni mpumbavu, umekaa Kariakoo na kufanya biashara lakini bado huna mali kama ya Primo Mushi. Kazi yako ni kumsifia tu kama chawa wa siasa. Tuonyeshe gorofa lako, maskini wahe
Wachaga bana wezi sana.
Alituchukia sanaalikuwepo jamaa anaitwa kuringe alipoingia magufuli alikimbia kwenda moshi ndio mwenye red stones club huyu p mushi wkt wa magufuli alikuwa kimya alipokufa anapandisha n=magorofa kama matatu kwa pamoja jiwe alikuwa yuko sahihi kuwachukia hawa jamaa
Mkuu sometimes nawaonea huruma lakini msipende sana slope nakuwa inferior, kitu ambacho hufahamu kuhusu kufanikiwa kwa sisi wachagga huwa kero tunazichukulia kawaida na hatupendi malalamiko, hata wakinga wapo hivo, makabila ya kanda ya ziwa wapo hivo pia sijui wanakwama wapi???hans macha kama sio nyumba za wazaramo asingetajirika leo tunaambiwa hatuna akili leo amekuwa shareholder mkubwa crdb kwasababu ya wazaramo lkn tumepata matusi leo sis ni pimbi
Kuna siku huyu primi mushi alikuja hapa kibosho tukawa tunapiga naye stori za hapo kariakoo, nakumbuka wakati anashuka kwenye gari yake sisi tulikuwa na tajiri fulani anaitwa kimboka anakaa huku uchau...Acha uongo....primi mwenyewe humjui
Mbezi Beach nyuma ya nyumba ya Amiri Mwamba ambayo ilikuwa UCC zamaniJiran wapi nikukamate.
Kwani benki hamzioni?, pili wataalamu wa biashara na sheria wapo kibao hamtaki kuwatumiaChief kaeni kama familia muende mahakamani kama kweli mnaamini mmedhulumiwa.