Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Aisee kweli, ila yupo mmoja hivi na nikabila hilohilo, Bwana mmoja akiwa ameoa wake wawili kafa na kuacha mali kibao yakiwemo mashamba ,majumba ,magari, n.k ila yapo mashamba mawili yale hata kwenye Miradhi hayakuepo, yaliwekwa KWa ajili ya mjomba wake aliemlea akiwa mdogo baada ya mama yake kufa, Tanga

Huyu bwana wa kabila hili alikua rafiki wa karibu wa marehem, so baada ya kifo Cha rafiki yake akajisogezea mke mdogo, na huyu ndo alikua na document nyingi za mali ya marehem , akafanya alivyojua familia ikaja jikuta mali zote zimeangukia kwenye mikono ya Mangi

Mwaka flani nikawa Tanga mjomba mtu tukakutanishwa katika harakati za kutafuta shamba Kama eka 20 hivi , jamaa akasema lipo , siku nikaenda kukagua kweli ni zuri, kuanzia udongo , tukapatana bei ,nikamlipa KWa kufuata taratibu zote,

Kama miezi miwili Mangi anajitokeza Kua nalo shamba lao, vitisho kibao, ila uzuri muuzaji yupo, Sasa tokana na vitisho alivyokuja navyo kwangu, na KWa kua nilishaelezwa A-Z ,nilimwambia ukweli, kwamba Sasa naomba tubambane maana shamba nimeisha nunua, na muuzaji atakua shahid YANGU tu ,asisumbuliwe, ila Mimi na wewe na pesa zako tupambane KWa namna yoyote anataka,

Jamaa alitoa povu ,Mara yeye ndo mwenye Tanga , Mara nini, akasema ananipa mwezi mmoja niwe nimedai pesa KWa elieniuzia vinginevyo yatanikuta,

Nami nikamwambia nakupa wiki MOJA utakuja nipigia magoti Hapa, Kama utani hivi, rafiki wakasema niachane na shamba jamaa, sio mzuri hasa kwenye Mambo ya giza, nikawambia nataka nimuone jeuri yake mpaka mwisho, shamba nimeisha nunua sirudishi shamba maana ni utapeli anataka fanya,

Siku sita zikakata huku msg za vitisho vya KILA aina , Mie Kimia,

Siku tisa anatokea lushoto kapiga Mueleka wa Adabu, miguu yote vunjika vunjika, sijui alikua anatoka kufanya nini, badae mwili naambiwa ukaanza umuka Kama mpira hapo Bombo hosp,na ukweli sikumfanyia lolote la kishirikina

Sasa wapambe wakawa wanazileta kwangu nami nakazia kwamba ataondoka si nilimpa siku 7 atakuja niomba msamaa,


Wiki ya pili ndugu zake wananitafuta ,kwamba kawatuma Mambo ya shamba yaishe na angependa nikaonane naye hospital , Wala sikwenda , ila niliwambia mwambie yameisha, alikuja kupona but with much respect to me , mpaka leo shamba lipo ,

Note ,Dhuluma sio nzuri, Kama mtu alikopa bil 1 ,KWa jengo la gharama ya bil 10 au na kuzidi, kwanini basi msikubaliane hata KWa kuliuza upate Chako na KINGINE apewe, haya ni maisha ya kupiga,

Utakua nyumba 100,200 ila utazikwa nazo ? Na je unafikili utaweza fikia miaka mia ukiwa hai ,KWa maisha ya Sasa lazima utakua umefukiwa, tuache tamaa
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Daaah mdau uyo jamaa ni buree kabisa.wanapenda Bata kinoma noma hapa kkoo tunawatizama tu.mambo yakiwa magumu wanareta ukabila mala mwizi mala mchawi.
Aseme ukweli tu. Pesa ya mkopo ni for bznes tu. Wao wanaenda mpk sauzi kula maisha.
Kuna dogo mmoja kutoka kigoma yupo kkoo hii anapambana kinouma kwa style ya TUMALIZANE anapata pesa na mtaji unakua after 3 Yrs akiwa tajili ss hatuta shangaa.
Kaenda kenya [emoji1139] kujifunza kwa gharama zake jinsi ya ku impliment uku TZ alikaa mwezi mzima. Na imekubali TUMALIZANE. Watu wa mombasa wanaijua hii.
Tufundishe mkuu Tumalizane ni nini?
 
rudini moshi kwani humwezi kujenga huko moshi hadi hapa dar
Kwa nini usipige puli kwani kuwa na madeni lazima ? Kwa nini usikae porini kwani kuwa na nyumba ni lazima ? Kwa nini usitumie kificho kwani kubwa na smartphone ni lazima ? Binadamu tumeumbwa tupambane na maisha hayana huruma. Dunia ni tambara bovu.One mistake one goal,kaa ukijua hilo.Tafuta wazee wakufundishe maisha.
 
One B unajiita mnyonge.
Mlizipataje hizo pesa nyie watu? Au ni za kurithi ndio maana mnashindwa kuziendeleza mpaka mnachukulia mikopo mwisho mnatapeliwa.
Na mbaya zaidi hata kudai haki zenu hamuwezi.
 
Aisee kweli, ila yupo mmoja hivi na nikabila hilohilo, Bwana mmoja akiwa ameoa wake wawili kafa na kuacha mali kibao yakiwemo mashamba ,majumba ,magari, n.k ila yapo mashamba mawili yale hata kwenye Miradhi hayakuepo, yaliwekwa KWa ajili ya mjomba wake aliemlea akiwa mdogo baada ya mama yake kufa, Tanga

Huyu bwana wa kabila hili alikua rafiki wa karibu wa marehem, so baada ya kifo Cha rafiki yake akajisogezea mke mdogo, na huyu ndo alikua na document nyingi za mali ya marehem , akafanya alivyojua familia ikaja jikuta mali zote zimeangukia kwenye mikono ya Mangi

Mwaka flani nikawa Tanga mjomba mtu tukakutanishwa katika harakati za kutafuta shamba Kama eka 20 hivi , jamaa akasema lipo , siku nikaenda kukagua kweli ni zuri, kuanzia udongo , tukapatana bei ,nikamlipa KWa kufuata taratibu zote,

Kama miezi miwili Mangi anajitokeza Kua nalo shamba lao, vitisho kibao, ila uzuri muuzaji yupo, Sasa tokana na vitisho alivyokuja navyo kwangu, na KWa kua nilishaelezwa A-Z ,nilimwambia ukweli, kwamba Sasa naomba tubambane maana shamba nimeisha nunua, na muuzaji atakua shahid YANGU tu ,asisumbuliwe, ila Mimi na wewe na pesa zako tupambane KWa namna yoyote anataka,

Jamaa alitoa povu ,Mara yeye ndo mwenye Tanga , Mara nini, akasema ananipa mwezi mmoja niwe nimedai pesa KWa elieniuzia vinginevyo yatanikuta,

Nami nikamwambia nakupa wiki MOJA utakuja nipigia magoti Hapa, Kama utani hivi, rafiki wakasema niachane na shamba jamaa, sio mzuri hasa kwenye Mambo ya giza, nikawambia nataka nimuone jeuri yake mpaka mwisho, shamba nimeisha nunua sirudishi shamba maana ni utapeli anataka fanya,

Siku sita zikakata huku msg za vitisho vya KILA aina , Mie Kimia,

Siku tisa anatokea lushoto kapiga Mueleka wa Adabu, miguu yote vunjika vunjika, sijui alikua anatoka kufanya nini, badae mwili naambiwa ukaanza umuka Kama mpira hapo Bombo hosp,na ukweli sikumfanyia lolote la kishirikina

Sasa wapambe wakawa wanazileta kwangu nami nakazia kwamba ataondoka si nilimpa siku 7 atakuja niomba msamaa,


Wiki ya pili ndugu zake wananitafuta ,kwamba kawatuma Mambo ya shamba yaishe na angependa nikaonane naye hospital , Wala sikwenda , ila niliwambia mwambie yameisha, alikuja kupona but with much respect to me , mpaka leo shamba lipo ,

Note ,Dhuluma sio nzuri, Kama mtu alikopa bil 1 ,KWa jengo la gharama ya bil 10 au na kuzidi, kwanini basi msikubaliane hata KWa kuliuza upate Chako na KINGINE apewe, haya ni maisha ya kupiga,

Utakua nyumba 100,200 ila utazikwa nazo ? Na je unafikili utaweza fikia miaka mia ukiwa hai ,KWa maisha ya Sasa lazima utakua umefukiwa, tuache tamaa
Naomba niulize nikiweka nyumba collateral bank naruhusiwa kuiuza niwalipe bank ? Na kilichobaki nibaki nacho. Dunia imevaa kimini mjinga ndio mtaji wa mwenye mali.
 
kimbori alitapeliwa na hans macha billion 9 kwenye bureu de charge na akuyumba kwa kariiakoo wakinga watasubiri sana hawa wakibosho wanatisha kuna ambao wameoa mpaka wa china na wahindi kama rahm lema na mohammed lema wake zao ni wahindi
Mtu hakupigwa Risasi? Ishu iliishaje?
 
Naomba niulize nikiweka nyumba collateral bank naruhusiwa kuiuza niwalipe bank ? Na kilichobaki nibaki nacho. Dunia imevaa kimini mjinga ndio mtaji wa mwenye mali.
Fanya hivi! Chukua kiasi cha pesa unachodaiwa na bank kutoka kwa serious buyer,maliza mkopo wako na bank,alafu Chukua hati yako nenda malizana na mnunuzi wako!!
 
Madhara ya kukopa mikopo ya Riba ni kama hayo.Riba huwa haina baraka hata kidogo na pesa ya Riba ukiichanganya kwenye biashara jua imekula kwako huwezi kufanikiwa wala kuendelea. Mwanzo unaweza kuona kuwa unafanikiwa na mambo yanaenda ila mambo yakishaanza kukugeukia utaiona hii ardhi chungu.
Matajiri wengi waliofanikiwa wanakopa bank tena hela ndefu. Ukipata Mhasibu mzuri kwenye biashara yako. Akakupikia vitabu vizuri yaani utakula mikopo ya bank mpaka basi. Kuna bosi wangu mmoja wa kichaga alikuwa anabembelezwa na CRDB achukue mkopo hata wa 2 billion. Ukiaminiwa na bank hauwezi kufilisika kamwe. Yaani ukisikia idea inalipa unawekeza fasta hela ipo nje nje. Hata huyu Mo yale mashamba ya katani alichukulia mkopo bank za nje. Nyie acheni kuna watu wameshaaga umasikini.
 
Matajiri wengi waliofanikiwa wanakopa bank tena hela ndefu. Ukipata Mhasibu mzuri kwenye biashara yako. Akakupikia vitabu vizuri yaani utakula mikopo ya bank mpaka basi. Kuna bosi wangu mmoja wa kichaga alikuwa anabembelezwa na CRDB achukue mkopo hata wa 2 billion. Ukiaminiwa na bank hauwezi kufilisika kamwe. Yaani ukisikia idea inalipa unawekeza fasta hela ipo nje nje. Hata huyu Mo yale mashamba ya katani alichukulia mkopo bank za nje. Nyie acheni kuna watu wameshaaga umasikini.

Unatumia kinywaji gani?? Umetoa kitu kizuri ambacho wajinga hawawezi kukuelewa
 
We kama hatoki nyumbani umemwonea wapi sasa?
Nimekuambia kuwa binti yake ndiyo mtambo wa hela kama huamini sikulazimishi. Ila ukisoma posts za watu kuanzia mwanzo utagundua kuwa analipa hela kati ya saa 12 jioni na usiku. Jiulize kwa nini?

Kama ni juhudi basi jaribu na wewe kama utamfikia
 
Nimekuambia kuwa binti yake ndiyo mtambo wa hela kama huamini sikulazimishi. Ila ukisoma posts za watu kuanzia mwanzo utagundua kuwa analipa hela kati ya saa 12 jioni na usiku. Jiulize kwa nini?

Kama ni juhudi basi jaribu na wewe kama utamfikia
Acha uongo....primi mwenyewe humjui
 
Sio kweli. Hiv kwanini wanaume siku hiz mnakuwa waongo sana. Inakusaidia nini

Nimekuambia kuwa binti yake ndiyo mtambo wa hela kama huamini sikulazimishi. Ila ukisoma posts za watu kuanzia mwanzo utagundua kuwa analipa hela kati ya saa 12 jioni na usiku. Jiulize kwa nini?

Kama ni juhudi basi jaribu na wewe kama utamfikia
Huna akili
 
Back
Top Bottom