Tajiri wa kutisha Chief Godlove avuta ndinga ya bei mbaya

pesakilakitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,618
Reaction score
2,861
Get rich or die trying

Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.

Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]

[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje.
 
Nasikia ukimiliki gari hii hufi!
 
Thubutuuu.......
 
Am proud to be a msukuma "kusifia mwanaume mwenzako unaona poa tu mjuba" ebu jikaze *****
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…