pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Nina baiskel ya phoenixAnd You?
Nasikia ukimiliki gari hii hufi!Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Thubutuuu.......Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
huwez kufarij umaskin kwa kusema kuna kufa mkuuNasikia ukimiliki gari hii hufi!
Sasa unaingiaje mkuu nisaidie konekshenUmaskini ni mbaya saana lakini kila utajiri na ukafiri nyuma yake hakika mkuu usione watu wanadrive au wanamiliki pesa ndefu kuna siri nzito sana na hyo siri hautoambiwa mpka uwe umeingia sirini
Usiwe na hasira mkuu najua umaskin unaumiza na kuleta hasiraa..,Ni maskini tu ambaye hupoteza m7da wake kusifia watu walio na pesa...
Nitumie namba yako pm nikuunganishe na bibi nyangetaSasa unaingiaje mkuu nisaidie konekshen
Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Usiwe na hasira mkuu najua umaskin unaumiza na kuleta hasiraa..,Am proud to be a msukuma "kusifia mwanaume mwenzako unaona poa tu mjuba" ebu jikaze *****
Nakuchana ukweli unahama kwenye saikolojia inaonesha "hujikubali"Usiwe na hasira mkuu najua umaskin unaumiza na kuleta hasiraa..,
Usiwe na hasira mkuu najua umaskin unaumiza na kuleta hasiraa..,sio kwamba umaskini ni kuchukia mafanikio ya mwingine kama wewe unavyofanyaNakuchana ukweli unahama kwenye saikolojia inaonesha "hujikubali"
Ile ni Benz S450 ya mwaka 2017 sina hakika kama ni pure maybach au facelifted.