Sichukii Ata mm ni free soulUsiwe na hasira mkuu najua umaskin unaumiza na kuleta hasiraa..,sio kwamba umaskini ni kuchukia mafanikio ya mwingine kama wewe unavyofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sichukii Ata mm ni free soulUsiwe na hasira mkuu najua umaskin unaumiza na kuleta hasiraa..,sio kwamba umaskini ni kuchukia mafanikio ya mwingine kama wewe unavyofanya
[emoji23][emoji23]Maybach kitu gani? Ushamba tu huyu dogo
View attachment 3139254
Usiwe na hasira mkuu najua umaskin unaumiza na kuleta hasiraa..,
Kama vibarua sio..kulipwa buku kwa sikuMkuu kamata jembe tukalime parachichi au ufuta...
Kama vibarua sio..kulipwa buku kwa siku
Za shetani anazitengeneza nani???SAFI KWAKE KAMA NI HELA ZA YESU MAANA MTU AKIMILIKI PESA ZA YESU NI MWANAUME HASWA MAANA KWANZA KUZIPATA TU UNAHENYEKA
ILA KAMA ZA SHETANI AH MI SISHITUKI HIZO MAANA HIZO UKIJITOA AKILI NA UTU WAKO NI RAHISI KUZIPATA
[emoji23][emoji23][emoji23]Za shetani anazitengeneza nani???
Mimi chama cha kuku halafu hiki chama nilijiunga nikiwa na mwaka mmoja kama nimesahau haizidi mwaka mmoja na nusuNina baiskel ya phoenix
Ginimbi in making aandike Wosia mapema km Dokta Shika 'RIP'Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175