Charlez kanumba
Senior Member
- Nov 2, 2024
- 187
- 501
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyo jamaa yuko level ya kutumiwa na waziri kweli?Huyo Godlove anatumika na Waziri -Katibu wa mama Kizimkazi.
Anatumika kuwasahaulisha waTZ misoto.
Maybach anapigia Picha tu ,siku nitaenda kwake kuona kama ipo parking.
Kidogo nikupite shemela na hiyo Avatar. Lol.Thubutuuu.......
🤣🤣🤣 lolIle ni Benz S450 ya mwaka 2017 sina hakika kama ni pure maybach au facelifted.
Siku akianza kunya keki na kukojoa wine ndio ntampa maua yakeGet rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Ndiyo mimi shemela, ila dogo anatutisha mjini.Kidogo nikupite shemela na hiyo Avatar. Lol.
Huwa najiuliza huyu jamaa huu mkwanja anautoleaga wapi kwani shem?
Ooh. Ok! Nakusalimia shem.Ndiyo mimi shemela, ila dogo anatutisha mjini.
Hivi zinamudu humps za Tanzania!Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Acha kujifariji wew ushapelea tuSAFI KWAKE KAMA NI HELA ZA YESU MAANA MTU AKIMILIKI PESA ZA YESU NI MWANAUME HASWA MAANA KWANZA KUZIPATA TU UNAHENYEKA
ILA KAMA ZA SHETANI AH MI SISHITUKI HIZO MAANA HIZO UKIJITOA AKILI NA UTU WAKO NI RAHISI KUZIPATA
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kujifariji wew ushapelea tu
Sawa, wewe unafaidika na nini hapa?Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Siyo Godlove mwenyewe unajipromote hapa?Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.
Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Mbona tivu ake anatumika tena kwa sasa ni Protokali ofisa wa ikulu ,sasa tivu na tapeli chioef si ndiyo wale wale tu?Hivi huyo jamaa yuko level ya kutumiwa na waziri kweli?
Hivyo viutapeli uchwara vya kishamba tu atumiwe na waziri? Waziri kakosa watu smart kabisa?
Mimi niko kijijini, ''tivu'' ndio nini mwamba?Mbona tivu ake anatumika tena kwa sasa ni Protokali ofisa wa ikulu ,sasa tivu na tapeli chioef si ndiyo wale wale tu?
Ukisikia kula vumbi 🤭Maybach kitu gani? Ushamba tu huyu dogo
View attachment 3139254
Uliza tu au ushapata jibu🤣🤣🤣 lol
Nimetaka kukuliza kitu halafu nikajikuta naghairi tu eti. 😃
Kwa kweli anatisha sana.Ooh. Ok! Nakusalimia shem.
Yaani acha tu shemela anafanya sisi vijana wenzake tuone hapa dunia ni wasindikizaji tu. 😃