Tajiri wa kutisha Chief Godlove avuta ndinga ya bei mbaya

Tajiri wa kutisha Chief Godlove avuta ndinga ya bei mbaya

Get rich or die trying

Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari kali aina ya Maybach Virgil Abloh.

Ndinga hio Yenye Thamani Ya Milioni 700 Na zaidi Pia inatumiwa na Star Kutokea Nigeria Davido ambaye aliinunua Mwanzo Wa Mwaka Huu Na Zilikua Gari 150 Tu Duniani Gari Hiyo Ni Aina Ya maybach Moja Ya Magari Ya Thamani Duniani [emoji848][emoji848][emoji848]

[emoji25] Umaskin mbaya wakuu, siwez kuelezea nipasieni konekshen nikachukue hata utajiri wa punje. View attachment 3139175
Nenda kwa Pidydy utaipata zaidi ya hii.

Acha kutamani mali za mwanaume mwenzio
 
History fupi :
______________
Amezaliwa kwenye familia ya kichungaji na alipozaliwa wakaona wamwite Godlove yani pendo la Mungu.
Katika data base, za siri za serikali. No : 829-290BBL ya wizara alienda kusajiri kama chama na kikundi cha watu wenye nia ya kusaidia jamii yatima na wajane, ndio huonesha anagawa nyama na mchele.
1. Huyu kijana :
Ni mwelevu sana anajua vijana wengi sana mna taka pesa za mafanikio ya haraka haraka.
2. Hivyo njia nyepesi ni kujifanya motivation speaker ambaye atawaaminisha anazo pesa, na mwanzo alikuwa hana pesa ilifika mahali ili kuwaaminisha alitumia pesa za mbao na makaratasi aliaibika sana enzi hizo.
3. Kwa kuwa mbuzi ni mbuzi tu wapo watanzania na watu kutoka nje wanaendelea kumiminika na wanalipia 100,000 kujiunga piga ni mbuzi ngapi anakusanya za kwa siku hadi leo amepata ni pesa za kutosha kuwaonesha ana nyumba na magari mazuri ila lazima utamsikia " Njoo ujiunge " ili kuendelea kukuza mtaji wa wajinga.
4. Lugumi walivyotranding na yale magari pale ni baba na mtoto sababu Lu
Moyo wako umejaa chuki,Hasira,Wivu akili za kimaskini,Maneno ya mkosaji
 
Ni maskini tu ambaye hupoteza muda wake kusifia watu walio na pesa...
Tena ni umaskini mbaya sana. Mimi nikukuta mtu tena mwanaume anamsifia mtu kwa utajiri wake nakata na urafiki naye.

Anasahau kuwa Watanzania tuko 65M na mtu mmoja pekee ndiye ameweza kununua gari kama hiyo.

Anataka kutufanya sisi wengine 64.99M hatuna akili?

Majinga sana majitu kama haya.
 
Back
Top Bottom