Tajiri wa kutisha Chief Godlove avuta ndinga ya bei mbaya

Huyo Godlove anatumika na Waziri -Katibu wa mama Kizimkazi.

Anatumika kuwasahaulisha waTZ misoto.

Maybach anapigia Picha tu ,siku nitaenda kwake kuona kama ipo parking.
Hivi huyo jamaa yuko level ya kutumiwa na waziri kweli?

Hivyo viutapeli uchwara vya kishamba tu atumiwe na waziri? Waziri kakosa watu smart kabisa?
 
Siku akianza kunya keki na kukojoa wine ndio ntampa maua yake
 

mbona katakataka?

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Hivi zinamudu humps za Tanzania!
 
SAFI KWAKE KAMA NI HELA ZA YESU MAANA MTU AKIMILIKI PESA ZA YESU NI MWANAUME HASWA MAANA KWANZA KUZIPATA TU UNAHENYEKA

ILA KAMA ZA SHETANI AH MI SISHITUKI HIZO MAANA HIZO UKIJITOA AKILI NA UTU WAKO NI RAHISI KUZIPATA
Acha kujifariji wew ushapelea tu
 
Sawa, wewe unafaidika na nini hapa?
 
Siyo Godlove mwenyewe unajipromote hapa?

Kuanzia Avatar yako hadi topic ipo kigodlove godlove flani'v!
 
Hivi huyo jamaa yuko level ya kutumiwa na waziri kweli?

Hivyo viutapeli uchwara vya kishamba tu atumiwe na waziri? Waziri kakosa watu smart kabisa?
Mbona tivu ake anatumika tena kwa sasa ni Protokali ofisa wa ikulu ,sasa tivu na tapeli chioef si ndiyo wale wale tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…