Tajiri Yusuf Bakhressa nakushauri acha kupoteza Fedha zako Kuihangaikia Azam FC basi hizo Fedha kasaidie Yatima Ubarikiwe zaidi

Tajiri Yusuf Bakhressa nakushauri acha kupoteza Fedha zako Kuihangaikia Azam FC basi hizo Fedha kasaidie Yatima Ubarikiwe zaidi

Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
Kilio chote hiki kisa kipigo cha Yanga. Uliishaambiwa Yanga ni dude fulani kuuubwa.
 
Kutafuta umewahi kumshauri? Lakini kutumia eti ndio una mshauri kimbelembele tu. Ni kukumbushe tu Azam fc ni ya familia yao. Sio y WANACHAMA. Unawashwa nn?
 
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
Genta hebu nisaidie rafiki yangu.
Nini kiliwaaminisha kwamba Azam lazima amfunge Yanga labda ifanyike hujuma?
1.Azam Wana kikosi Bora Sana?
2.Yanga Wana kikosi dhaifu?
 
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
Huna akili za kumshinda Bakhresa hata kiduchu.

Saa zingine wanavyokushambulia humu mimi huwa naona wanakuonea, kumbe unastahiki. Punguani wahed.
 
Huna akili za kumshinda Bakhresa hata kiduchu.

Saa zingine wanavyokushambulia humu mimi huwa naona wanakuonea, kumbe unastahiki. Punguani wahed.
Faiza Kuna mtu wa kumuonea huyo kima kweli humu, umuonee chizi upate nini
 
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
Kwahiyo yote haya ni makasiriko ya kipigo cha jana pale Mkwakwani? Wapigwe Lamba lamba fc, waumie Madunduka fc?
 
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁💯💯💯
 
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.

Timu bora na imara hushinda mechi japo na bahati pia wakati mwingine inahitajika katika mpira
 
Kwenye Soka Yusuph ,mshauri wake ni Mzozo, Dodi , na kally , wakikutana sebuleni pale jioni ,watamshauri
 
Back
Top Bottom