Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Yaani nyoka hata kwenye biblia amelaaniwa eti wewe ndio unataka awe rafiki yetu?
 
Yaani bola nikalime Senene huko Bukoba kuliko hawa wadudu.mtoa mada naomba uje na jambo jingine na si hawa Nyoka aisee..khaaaaaaa!
 
Mhhhh kama mambo ni hivi kwaheri utajiri
 
Npo tear kufa masikini
Nyoka sifugi
Endelea kufa masikini choice yako

Ndio maana wazungu wamepiga hatua kubwa kimaendeleo na kisayansi sababu they take risk na risk takers huwa hawafeli either wafanikiwe au wajifunze na wapate uzoefu
 
NATAKA KUWA TAJIRI HILI NI SWALI LIKO KWA VICHWA VYA WENGI LAKINI HUU NI UHAKIKA

NAITWA DR, MDIRO namba 0746223645. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) NIPIGIE 0746223645. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.(TAFADHALI PIGA SIMU UKIWA NA NIA YA DHATI)
 
Hawa wata ndo wanafanya watu wasiamini kwenye kilimo
 
Hii ni laana ya kutawaliwa na ccm, Mungu mwenyewe alishasema naweka uadui kati yao uzao wako na uzao wa nyoka, ww unatuaminisha si maadui, aiseeee acha ujinga na upotoshaji pia uachega uongo
 
Hizo pesa wewe huzitaki?
 
Tapeli kama matapeli wengine?
Ukoo wako mzima mbona hujawatajirisha mpka utufuate huku JF
 
Marehemu aliendekeza uzungu mwingi, akagongwa na nyoka akafa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…